GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwacheni aende tu huko kwa Marafiki zake Wakubwa akina Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC ) na wana Yanga na wala msipoteze muda Wenu kumhitaji kwani ana Sifa kuu nisiyoipenda ya Unafiki na Kutumika.
Kikosi cha sasa cha Simba SC Kinatosha na Kikiaminiwa tu kina Uwezo wa kufanya Makubwa ndani NBC , ASFC na nje CAFCL hadi mkashangaa.
Kikosi cha sasa cha Simba SC Kinatosha na Kikiaminiwa tu kina Uwezo wa kufanya Makubwa ndani NBC , ASFC na nje CAFCL hadi mkashangaa.