GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani Msuva hata apewe ahadi ya mshahara wa laki 9 na Yanga, huku Simba wamuahidi mil 5. Bado atachagua kufanya kazi Yanga SC.Wewe na Msuva ni baba mmoja na mama mmoja.....
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?NI MPUMBAVU TU ANAYEWEZA AKAAMINI HUO UPUUZI.
NA WAKATI HUO ANATAKIWA APUNGUZWE WINGA MMOJA KWAAJILI YA KUPATA KIUNGO MKABAJI.
1. Aubin kramo.
2. Essomba Onana.
3. Luis Miquesson.
4. Saido Ntibazonkiza.
5. Jimyson Mwanuke.
6.Clotus Chama.
7. KIBU Denis.
8. Moses phili.
9.(((((((( (Peter Banda))))))
Katika Hawa watu 8 wanataka wampunguze Mmoja WASAJILI kiungo mkabaji No6.
Mtu MWENYE AKILI Finyu ANATAKA Simba iwe na Mawinga 10.
UONGOZI UNAHAHA KUKATA JINA MOJA.
Sikumbuki ni lini uliwahi kuzimiliki Akili.HII TAARIFA NI YA UZUSHI.
Feisal, Bangala, Mayele, Djuma wote kwa mkupuo wameyakataa mazingira mazuri zaidi yanayofanana na ya kule ughaibuni.Yaani Msuva hata apewe ahadi ya mshahara wa laki 9 na Yanga, huku Simba wamuahidi mil 5. Bado atachagua kufanya kazi Yanga SC. Ambapo pana mazingira mazuri zaidi yanayofanana na ya kule ughaibuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Feisal, Bangala, Mayele, Djuma wote kwa mkupuo wameyakataa mazingira mazuri zaidi yanayofanana na ya kule ughaibuni.
Kama wanahaha kukata jina hao viongozi ni wapuuzi wa kutupwa. Majina ya wachezaji wa kigeni ya kukata mbona yako wazi kabisa? BANDA na SAIDOO.NI MPUMBAVU TU ANAYEWEZA AKAAMINI HUO UPUUZI.
NA WAKATI HUO ANATAKIWA APUNGUZWE WINGA MMOJA KWAAJILI YA KUPATA KIUNGO MKABAJI.
1. Aubin kramo.
2. Essomba Onana.
3. Luis Miquesson.
4. Saido Ntibazonkiza.
5. Jimyson Mwanuke.
6.Clotus Chama.
7. KIBU Denis.
8. Moses phili.
9.(((((((( (Peter Banda))))))
Katika Hawa watu 8 wanataka wampunguze Mmoja WASAJILI kiungo mkabaji No6.
Mtu MWENYE AKILI Finyu ANATAKA Simba iwe na Mawinga 10.
UONGOZI UNAHAHA KUKATA JINA MOJA.
🤣 🤣Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.
Nimemaliza.