Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Pamoja na yote tukubali kuwa SSC haitoweza kucheza nusu fainali.
Hii ni kwasababu timu hiyo haijawahi kuandaliwa kwa mfumo wa knock out.
Ni kikosi kimoja tu mimi nakiita kikosi cha dhahabu chini ya Gomez ndiyo kilikuwa na uwezo wa kukaza ugenini, kushinda au kutoa suluhu. Mikisoni -Morisson -Chama, Bwalya -etc etc
Kikosi cha sasa SSC ni kile cha kula goli 5 ugenini , hata 10 . Asec angekuwa Serious kidogo angemla simba hata goli 10.
Ugenini simba inakuwa WEAK sana na inafungika kirahisi sana, huku Pablo akikosa uwezo wa kucheza away games.
Nasema kwamba SSC anaweza kushinda hata goli tatu pale LUPASO, kwa Hayati BWM , lakini akienda away hizo goli zinarudi kipindi cha kwanza tu.
Ndugu zangu tujiandae ki fikra ili kupunguza machungu, mpira sio matangazo au mihemko ya mashabiki, mpira ni investment na kuwa nawachezaji wenye uwezo wa kusababisha popote.
Naiombea SSC kheri lakini ukweli ni kwamba mpira sio dua, mpira ni ushindani na kuwa nawachezaji wa maana.
Mazingira ya SSC kutolewa ni asilimia 90 .
Sina imani na safu butu ya ushambuliaji na beki yenye kupwaya.
Time will tell
Hii ni kwasababu timu hiyo haijawahi kuandaliwa kwa mfumo wa knock out.
Ni kikosi kimoja tu mimi nakiita kikosi cha dhahabu chini ya Gomez ndiyo kilikuwa na uwezo wa kukaza ugenini, kushinda au kutoa suluhu. Mikisoni -Morisson -Chama, Bwalya -etc etc
Kikosi cha sasa SSC ni kile cha kula goli 5 ugenini , hata 10 . Asec angekuwa Serious kidogo angemla simba hata goli 10.
Ugenini simba inakuwa WEAK sana na inafungika kirahisi sana, huku Pablo akikosa uwezo wa kucheza away games.
Nasema kwamba SSC anaweza kushinda hata goli tatu pale LUPASO, kwa Hayati BWM , lakini akienda away hizo goli zinarudi kipindi cha kwanza tu.
Ndugu zangu tujiandae ki fikra ili kupunguza machungu, mpira sio matangazo au mihemko ya mashabiki, mpira ni investment na kuwa nawachezaji wenye uwezo wa kusababisha popote.
Naiombea SSC kheri lakini ukweli ni kwamba mpira sio dua, mpira ni ushindani na kuwa nawachezaji wa maana.
Mazingira ya SSC kutolewa ni asilimia 90 .
Sina imani na safu butu ya ushambuliaji na beki yenye kupwaya.
Time will tell