Simba SC Haina faida yoyote kwa mo, Simba ndio wanufaika ,namshauri mo aachane haraka na SC,.uko

Simba SC Haina faida yoyote kwa mo, Simba ndio wanufaika ,namshauri mo aachane haraka na SC,.uko

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ukipita mitaani ukawakuta mashabiki ,WA Simba na wachambuzi wa soka watakuonyesha kwamba mo dewj anaidhulum Simba au wanataka billion 20, wakati huo huo mo dewj ameendelea kutumia pesa zake kuihudumia timu kwa mambo mbalimbali ambapo tangia ameanza kuifadhili timu mpaka Leo huenda ametumia zaidi ya hiyo billion 20, faida wanayodai mo anapata ni kuweka nembo ya mo Xtra kwenye jezi za simba ..Mimi nasimama na mo kwamba Simba haijamnuifaisha na chochote labda yeye ndio kainufaisha Simba ..kwa mambo yanavyoendelea itakuwa poa sana mo aachie timu waendeshe wengine huenda watapata faida
 
Tunaomba DP World waingilie Kati Utopoloni,itakuwaje Pre season iwe Kimbiji...!

Huyu mfadhili Wetu Kwani Kaishiwa..?

Kumbakisha Mayele vikao vimekaliwa hamsini kidogo..! Viiipi mbona hatuelewi au ndo mpaka jezi Ziuzwe ..!
 
Wanamtesa muhindi wa watu kiufupi simba wanadanga!
 
Tunaomba DP World waingilie Kati Utopoloni,itakuwaje Pre season iwe Kimbiji...!

Huyu mfadhili Wetu Kwani Kaishiwa..?

Kumbakisha Mayele vikao vimekaliwa hamsini kidogo..! Viiipi mbona hatuelewi au ndo mpaka jezi Ziuzwe ..!
Tulia wewe achane kudanga kwa MO
 
Mwekezaji anadeka mpaka basi. Yaani utafikiri bila yeye, basi simba itakufa.
 
Mtu akiwekeza pesa, usimletee utoto.....viongozi wa simba hamna kitu, na hawana sifa za kiuongozi sababu nahisi wanajua udhaifu wa wana simba wote.....unajua hadi uwe kiongozi means una akili kubwa kuliko wengi ndani ya kundi hilo, inanifikirisha juu ya akili za wana simba kwa ijumaa...MUNGU atusaidie
 
Back
Top Bottom