Simba SC haipo sawa mashabiki jiandaeni

Simba SC haipo sawa mashabiki jiandaeni

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Kuna sehemu Simba haipo sawa tena kwenye uongozi wa juu,wale wawili hawaelewani Mangungu na Mo Dewji haziivi kabisa,hata ukiangalia kwenye Simba day hawakuongea kabisa,viongozi hawaelewani hata kidogo.

Nimeamka nimekutana na habari za moto moto Awesu Awesu ni mchezaji wa KMC FC. Simba walipitia mlango wa nyuma kumrubuni mchezaji, kweli club kama Simba inafanya madudu kwenye usajili.

Simba hakuna hata mmoja mwenye akili mule,hakuna wasomi Mo hajasoma Mangungu pia hajaenda shule ndo maana club inaendeshwa kimagumashi.

Soma Pia:
Msimu uliopita tuliona kwa Kagera Simba walimrubuni muhilu ila ni busara za Kagera tu ikapita,Leo KMC wameonyesha ni club changa ila wana uweledi kuliko Simba,hii ni too much sasa ni aibu sana.

Kuna sehemu TFF hawako sawa haina maana kuwa na mapenzi ya dhati yasiofichika kwa Simba,msimu huu wanaingia mara 4 kwenye migogoro na wachezaji wa timu nyingine wanawarubuni kweli TFF inatoka inasema hawajapata ushahidi wa kimaneno au video,nauliza hivi Awesu Awesu kwenye kambi ya Simba alienda kutembea tu? na wamemtambulisha kwenye official page za Simba pia amecheza.

Kufanya mazungumzo na mchezaji mwenye mkataba na club nyingine ni kosa kisheria,na sheria inasema kufungiwa kusajili kwa madirisha kazaa,Leo hii unasema hakuna ushahidi kweli jamani?

Unawezaji kumsajili mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine kuna mambo yanachanganya sana.

KMC wanataka Simba wafuate utaratibu waje wakae mezani mambo yaishe sio unaweka pesa kwenye account ya KMC bila kuzunguka na club kubagain,Simba wameweka million 30 KMC wanataka millioni 50,mpaka hapo inaonyesha KMC hawamuhitaji mchezaji tena ila wanataka kunufaika na mchezaji wao.
 
Kuna sehemu simba haipo sawa tena kwenye uongozi wa juu,wale wawili hawaelewani mangungu na mo dewji haziivi kabisa,hata ukiangalia kwenye simba day hawakuongea kabisa,viongozi hawaelewani hata kidogo,nimeamka nimekutana Na habari za moto moto awesu awesu ni MCHEZAJI wa kmc simba walipitia mlango wa nyuma kumrubuni mchezaji,kweli club kama simba inafanya madudu kwenye usajili.
Simba hakuna hata mmoja mwenye akili mule,hakuna wasomi mo hajasoma mangungu pia hajaenda shule ndo maana club inaendeshwa kimagumashi.
Msimu uliopita tuliona kwa kagera simba walimrubuni muhilu ila ni busara za kagera tu ikapita,Leo kmc wameonyesha ni club changa ila wana uweledi kuliko simba,hii ni too much sasa ni aibu sana.

Kuna sehemu TFF hawako sawa haina maana kuwa na mapenzi ya dhati yasiofichika kwa simba,msimu huu wanaingia mara 4 kwenye migogoro na wachezaji wa timu nyingine wanawarubuni kweli TFF inatoka inasema hawajapata ushahidi wa kimaneno au video,nauliza hivi awesu awesu kwenye kambi ya simba alienda kutembea tu??na wamemtambulisha kwenye official page za simba pia amecheza.

Kufanya mazungumzo na MCHEZAJI mwenye mkataba na club nyingine ni kosa kisheria,na sheria inasema kufungiwa kusajili kwa madirisha kazaa,Leo hii un asema hakuna ushahidi kweli jamani??

Unawezaji kumsajili MCHEZAJI mwenye mkataba na timu nyingine kuna mambo yanachanganya sana.

Kmc wanataka simba wafuate utaratibu waje wakae mezani mambo yaishe sio unaweka pesa kwenye account ya kmc bila kuzunguka na club kubagain,simba wameweka million 30 kmc wanataka million 50,mpaka hapo inaonyesha kmc hawamuhitaji MCHEZAJI tena ila wanataka kunufaika na MCHEZAJI wao.
subirini league ianze mtakuwa kimya wachambuzi uchwara
 
Kwa hiyo shida ni hiyo milioni 20 au kuna lingine?

Simba walichoamua kufanya msimu huu ni kutengeneza "tone" au beat ambalo wachezaji na mashabiki wake inabidi tutembee nalo na beat hilo ni la hip hop ngumu ngumu. Ya liwalo na liwe. Ya ubaya ubwelaaaa.

Hata Yanga utawala wao wa sasa ulianza kihunihuni hivi hivi, leo hii mnamuimba Hersi mnasahau alimteka Kibu na bila aibu akavaa jezi ya Kaizer Chief na mambo mengine niliyoyasahau. Wakati mwingine inabidi ufanye mambo hata ya hovyo ili mpinzani wako ajue sasa hivi hautanii.
 
Manula
Israeli mwenda
Kibu Denis
Chama
Inonga
Kagoma
Awesu
Lawi
Jamani nisaidieni kuongeza mwenye migogoro na simba
 
Kwa hiyo shida ni hiyo milioni 20 au kuna lingine?

Simba walichoamua kufanya msimu huu ni kutengeneza "tone" au beat ambalo wachezaji na mashabiki wake inabidi tutembee nalo na beat hilo ni la hip hop ngumu ngumu. Ya liwalo na liwe. Ya ubaya ubwelaaaa.

Hata Yanga utawala wao wa sasa ulianza kihunihuni hivi hivi, leo hii mnamuimba Hersi mnasahau alimteka Kibu na bila aibu akavaa jezi ya Kaizer Chief na mambo mengine niliyoyasahau. Wakati mwingine inabidi ufanye mambo hata ya hovyo ili mpinzani wako ajue sasa hivi hautanii.
We nae huwa na hamnazo, kibu alishamaliza mkataba kwani mlikuwa mnamdai?. Mbumbu fc bana.
 
Eti hatujapata ushahidi kama simba imemrubuni mchezaji,ila tunawapa onyo simba,sasa hiyo onyo ya nini na hamna ushahidi TFF?
Katika kosa Simba wamelifanya ni kumrudisha Magori awe ndiye msaka vipaji, yaani kama Simu ni zile za kizamani zenye antenna kama za kinga'muzi Cha Azam kwa matumizi ya uko milimani mnatumia Karne hii ya 21.
Yeye alizoea enzi hizo kupora wachezaji na kusaidiwa na FA mambo ambayo kwasasa hayana nafasi.
 
Kuna sehemu Simba haipo sawa tena kwenye uongozi wa juu,wale wawili hawaelewani Mangungu na Mo Dewji haziivi kabisa,hata ukiangalia kwenye Simba day hawakuongea kabisa,viongozi hawaelewani hata kidogo.

Nimeamka nimekutana na habari za moto moto Awesu Awesu ni mchezaji wa KMC FC. Simba walipitia mlango wa nyuma kumrubuni mchezaji, kweli club kama Simba inafanya madudu kwenye usajili.

Simba hakuna hata mmoja mwenye akili mule,hakuna wasomi Mo hajasoma Mangungu pia hajaenda shule ndo maana club inaendeshwa kimagumashi.

Soma Pia:
Msimu uliopita tuliona kwa Kagera Simba walimrubuni muhilu ila ni busara za Kagera tu ikapita,Leo KMC wameonyesha ni club changa ila wana uweledi kuliko Simba,hii ni too much sasa ni aibu sana.

Kuna sehemu TFF hawako sawa haina maana kuwa na mapenzi ya dhati yasiofichika kwa Simba,msimu huu wanaingia mara 4 kwenye migogoro na wachezaji wa timu nyingine wanawarubuni kweli TFF inatoka inasema hawajapata ushahidi wa kimaneno au video,nauliza hivi Awesu Awesu kwenye kambi ya Simba alienda kutembea tu? na wamemtambulisha kwenye official page za Simba pia amecheza.

Kufanya mazungumzo na mchezaji mwenye mkataba na club nyingine ni kosa kisheria,na sheria inasema kufungiwa kusajili kwa madirisha kazaa,Leo hii unasema hakuna ushahidi kweli jamani?

Unawezaji kumsajili mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine kuna mambo yanachanganya sana.

KMC wanataka Simba wafuate utaratibu waje wakae mezani mambo yaishe sio unaweka pesa kwenye account ya KMC bila kuzunguka na club kubagain,Simba wameweka million 30 KMC wanataka millioni 50,mpaka hapo inaonyesha KMC hawamuhitaji mchezaji tena ila wanataka kunufaika na mchezaji wao.
5imba Guvu Moya janja2 sana.
 
Back
Top Bottom