Simba SC haitafanya vizuri Kimataifa

Haina maana kwamba tusikosoe pale mtu anapotoa mawazo yake eti Kisa ya freedom of speeche tena hasa akiwa public figure na mimi sijamuona mjinga ni vile tu nmemshusha vyeo nilivyompa
 
Kaka hata yanga mbovu haiwezi poteza game 3 mfululizo kirahisi ivyo
Washapoteza au mechi zipi unazungumzia ,river United nje ndani ,zanaco 1-2 ,au umeandika ukiwa unasokota ugori
 
Kaka mi sina matusi ok sorry namaanisha mechi za kimashindano na kama ukichukulia pamoja na hilo bonanza na zanako kuna game mbili au tatu walicheza kabla ya rivers
Washapoteza au mechi zipi unazungumzia ,river United nje ndani ,zanaco 1-2 ,au umeandika ukiwa unasokota ugori
 
Mnaweza ona wanakatisha tamaa nakwanini waseme uwongo ndoshida ya kulelewa wazazi waongo,chama kiongo viongozi
Ukweli ndo huo hakuna wachezaji hua hatuuzi wachezaji wazuri Ila tunawanunua wazuri kidogo pengine ili waungane na wazuri zaidi
Kwamfano Simba ,chama na mwezake wangekuwepo harafu Simba ingeuza akina mugalu iwalete iliyowaleta

Msimu huu Simba ingekuaje kimataifa?
 
Huyu binti Leah ni mchambuzi njaa!! Mwaka jana alisema hivyo hivyo lakini simba ilichanja mbuga hadi robo fainali tena kwa kuongoza kundi, kitu ambacho utopolo yake haiwezi hata hatua moja!! Utopolo yake imetolewa hatua ya mchangani! Binti Leah ni wa kumpuuza tu!!
 
Huwa hamuuzi wachezaji wapi?
Kuna mahala uliwahi kuwa CEO wa team ukawa unagoma kuuza wachezaji.
Eti mchezaji kaletewa ofa mshahara ×13 ya unaomlipa afu umbanie,
Tuseme luis alikuwa analipwa mil 8 ( najua inazidi hapa).
Simba inauwezo wa kumlipa mchezaji hizo mil 108 kwa mwezi?
Haya hata nusu yake mil 50 kwa mwezi, simba ina uwezo huo?
Kama huna hela kubali kuuza, wataondoka bure au wavunje mikataba kwa hasira.
 
Tatizo hatuna standard za mtu kuwa mchambuzi....ni sawa useme kila mtu anaweza kuwa mwanasheria ....uchambuzi ni taaluma Kama taaluma zingine....ktk nchi zilizoendelea hurusiwi kuwa mchambuzi Kama sio Kocha au uliwahi kucheza mpira...lakini bongo mtu anaajiriwa kwenye redio ajawahi kucheza mpira Wala kusomea ukocha Wala kusomea uandishi wa habari....mtu akijua kuezea mpira kidogo Basi ashakuwa mchambuzi...hatusamini professionalism...wengi tunawajua hawasomea ukocha ..hawajasomea uandishi ...Wala hawajawahi kucheza mpira ...angalia marehemu kashasha na mayai na Hawa wengine utaona utafauti..
 
Makini kaka hizi radio kuna kipindi niliombwa nikawe mchambuzi huku mkoani kwetu yani hawana professionalism eti kisa najua mpira na nina sauti nzuri
 
alichokisema ndyo ukwer japo ni mchungu sanaaa utanambia hatua hii simba hafiki popote bila miqusone na chama.
 
Simba jumapaili anakula 4-0
Kwa Benja anakula 2-0

Anarudi ligi kuu anakutana na maafande wanampiga 1-0

Kisha wagosi wa kaya wanambana ana draw, hapo haabari ya kwisha anasubiri next season ajipange upya.

Uwe unajua basi hata ratiba yenyewe,ni hivi,Simba ikiwa atatolewa CL round hii atakwenda CC,kwa hiyo bado yupo yupo sana Kima Taifa.Endelea sasa kupiga ramli ukiwa na hiyo taarifa.
 
Msimu ulopita alisema Simba haina defense nzuri na vile wamemleta Onyango basi tutakula nyingi.
Alichoharibu ni kufananisha ile simba ilokula 5 kwa As vita na Al Ahly.

Sijawahi kuwa mpenzi kivilee wa mpira ila nkaona hapa hakuna mchambuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…