Simba SC hamuwezi kujisifu kwa kumtoa Jamhuri

Simba SC hamuwezi kujisifu kwa kumtoa Jamhuri

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Bado Jamhuri ipo kwenye growth process , it is too obvious nyie kushinda.

Hakukuwa na changamoto.

Kwanza SSC leo hii ikikutana na YANGA bado SSC atalalwa sio chini ya goli 3 .

Haiwezekani timu ipate clear chances zaidi ya 10 and yet inaondoka na goli moja. Tafsiri yake ni kuwa timu bado haipo sawa.

Kama Stricker ni Baleka, rudini tena kwenye meza mkajitafakari.

Angalau Luis , kama Luis angekuwa na ile combo ya wachezaji wake, angeweza kuwa bora zaidi.

Nasikitika kuona yoyote anaeisifu SSC kwa kufuzu, ni sawa na kupiga bomu mochwar

Chances 10 goli moja? I am done

Hata yule Rasta mpya ni wa mchongo, yaani kwenye usajili SSC sijui ilidhulumu mizimu dah
 
Hivi utopolo united hamnaga aibu?

Football siyo maneno, unaweza kutengeneza chain ya fikra kwa mtazamo wa historia ambao mara nyingi kwenye football hauna nafasi.

Fikiria hii:
Kwenye mashindano ya Mapinduzi Cup

APR alipoteza 1 - 3 dhidi ya Singida FG

Simba sc akashinda 2- 0 dhidi ya Singida FG

APR ikatoa sare 0 - 0 na Simba SC

APR IKASHINDA 3- 1 DHIDI YA YANGA

mpaka hapo nani kibonde?

Usilete ishu ya kikosi A, B, C. hao ni wachezaji wenu mlioona wanafaa kushindana.
 
Bado Jamhuri ipo kwenye growth process , it is too obvious nyie kushinda.

Hakukuwa na changamoto.

Kwanza SSC leo hii ikikutana na YANGA bado SSC atalalwa sio chini ya goli 3 .

Haiwezekani timu ipate clear chances zaidi ya 10 and yet inaondoka na goli moja. Tafsiri yake ni kuwa timu bado haipo sawa.

Kama Stricker ni Baleka, rudini tena kwenye meza mkajitafakari.

Angalau Luis , kama Luis angekuwa na ile combo ya wachezaji wake, angeweza kuwa bora zaidi.

Nasikitika kuona yoyote anaeisifu SSC kwa kufuzu, ni sawa na kupiga bomu mochwar

Chances 10 goli moja? I am done

Hata yule Rasta mpya ni wa mchongo, yaani kwenye usajili SSC sijui ilidhulumu mizimu dah
Poa
 
Bado Jamhuri ipo kwenye growth process , it is too obvious nyie kushinda.

Hakukuwa na changamoto.

Kwanza SSC leo hii ikikutana na YANGA bado SSC atalalwa sio chini ya goli 3 .

Haiwezekani timu ipate clear chances zaidi ya 10 and yet inaondoka na goli moja. Tafsiri yake ni kuwa timu bado haipo sawa.

Kama Stricker ni Baleka, rudini tena kwenye meza mkajitafakari.

Angalau Luis , kama Luis angekuwa na ile combo ya wachezaji wake, angeweza kuwa bora zaidi.

Nasikitika kuona yoyote anaeisifu SSC kwa kufuzu, ni sawa na kupiga bomu mochwar

Chances 10 goli moja? I am done

Hata yule Rasta mpya ni wa mchongo, yaani kwenye usajili SSC sijui ilidhulumu mizimu dah
Apr 3-1 yanga

Yanga ndiyo bora
 
Haiwezekani timu ipate clear chances zaidi ya 10 and yet inaondoka na goli moja. Tafsiri yake ni kuwa timu bado haipo sawa.
Kupata clear chances nyingi ni dalili nzuri kwa kocha yeyote maana kazi inayobaki huwa si kubwa. Kuna timu zinatafuta kwa tochi hizo chances
 
MWIKO NYUMA FC kweli wenye akili ni watu 2 tu,,

Unasema simba isijisifu kwa kuifunga Jamhuri na kuingia nusu fainali,
Wakati huo huo wameshasahau kwamba hata wao MWIKO NYUMA FC alimfunga Jamhuri ndy akapata ticket ya robo fainali .
 
Back
Top Bottom