DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Tunajua tunachokifanya kwenye program za Watoto ndo maana tunatumia Watoto kweli kwenye mechi zetu
Hatuangaliii matokeo ya leo tunaangalia faida kubwa ya baadae kupitia Watoto hawa
Hatutaki kujidanganya kwa mafanikio ya muda mfupi bali tunawekeza katika maendeleo
Hongereni vijana wetu kwa mchezo mzuri na wala msivunjike moyo malengo yetu ni zaidi ya kuwa mabingwa wa U 20
Hatuangaliii matokeo ya leo tunaangalia faida kubwa ya baadae kupitia Watoto hawa
Hatutaki kujidanganya kwa mafanikio ya muda mfupi bali tunawekeza katika maendeleo
Hongereni vijana wetu kwa mchezo mzuri na wala msivunjike moyo malengo yetu ni zaidi ya kuwa mabingwa wa U 20