Simba SC hatujidangaji,tunatengeneza future na ndio maana tunachezesha watoto kweli- Ahmed Ally

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Tunajua tunachokifanya kwenye program za Watoto ndo maana tunatumia Watoto kweli kwenye mechi zetu

Hatuangaliii matokeo ya leo tunaangalia faida kubwa ya baadae kupitia Watoto hawa

Hatutaki kujidanganya kwa mafanikio ya muda mfupi bali tunawekeza katika maendeleo

Hongereni vijana wetu kwa mchezo mzuri na wala msivunjike moyo malengo yetu ni zaidi ya kuwa mabingwa wa U 20
 

Wewe ni Ahmed Alli au umecopy kutoka page yake ya instagram hili andiko??
 
Mpaka dakika 49 simba u20 kapigwa na yanga u20 goli 5.
Sijajua full time amekandwa goli ngapi!!.
Wakubwa wamekandwa goli 5 watoto nao mpaka dk 49 wamekandwa goli 5,Simba tabu ipo pale pale 😁
 
Yeye kajuaje kwamba hao waliopo Simba ni u20 kweli?
Au na yeye kaletewa tu vyeti vya kuzaliwa kipigo hua kina maumivu makali sana.
Hata kama hufuatilii mpira basi hata ktk mitandao hujawahi kuona Simba wakizunguka kutafuta vijana nchi nzima. Tena waliweka hadi range ya umri ya vijana wanaotakiwa.
 
Hata kama hufuatilii mpira basi hata ktk mitandao hujawahi kuona Simba wakizunguka kutafuta vijana nchi nzima. Tena waliweka hadi range ya umri ya vijana wanaotakiwa.
Wewe ndio hujui lolote basi sasa wakizunguka nchi nzima ndio nin labda?
Africa kwenye kudanganya umri ni jambo lisiloepukika na limeshabobea unaweza ukapita nchi nzima na ukahitaji vijana wa umri tajwa na ukaishia kupata vijeba.
 
Ahmed mengine kaa kimya tu inatosha.
 
Mateso yanaendelea kwa Simba SC kwenye Kariakoo Derby hata kwenye Ligi ya NBC Tanzania bara kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya klabu ya Yanga kuibamiza Simba SC magoli 4-0 katika dimba la Azam Complex, Chamazi.

FT: Simba Sc 0️⃣ — 4️⃣ Yanga Sc
⚽ Willyson Christopher
⚽ Sheikhan Khamis
⚽ Ahmed Fredrick
⚽ Ramadhani Hemed

Kiungo mpya wa Yanga, Sheikhan Khamis alikuwa sehemu ya kikosi kilichoibuka na ushindi huo huku akifunga moja ya magoli.

#KitengeSports
 
Mpaka dakika 49 simba u20 kapigwa na yanga u20 goli 5.
Sijajua full time amekandwa goli ngapi!!.
Wakubwa wamekandwa goli 5 watoto nao mpaka dk 49 wamekandwa goli 5,Simba tabu ipo pale pale [emoji16]
Duh,kweli utopwinyo ni wawili tu wenye akili timamu
 
Vijeba FC
 
Kila homa huja na side effects zake. Usishangae unaumwa malaria unasikia kichwa k8nauma, mara kuchoka choka ukija kupima unakuja gundua ni malaria.

Kwani nani hana malengo ya mbali? Mbona wao wameifunga Yanga ya watoto mara nyingi tu kipindi cha nyuma na wala husikii Yanga wakiongea ongea na kutoa visababu vya kipuuzi.
 
Hahahaha, uzuri ya kuwa msemaji, we unasema tu na kuandika tu kwa page siku imeisha na kazi umefanya
 
Mpaka dakika 49 simba u20 kapigwa na yanga u20 goli 5.
Sijajua full time amekandwa goli ngapi!!.
Wakubwa wamekandwa goli 5 watoto nao mpaka dk 49 wamekandwa goli 5,Simba tabu ipo pale pale 😁
Walikandwa goli 4 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…