Simba SC hebu tumalizane Kwanza na haya Matatizo yetu ya Kimsingi kabla ya Kusema Yanga SC na GSM Wananunua Mechi

Simba SC hebu tumalizane Kwanza na haya Matatizo yetu ya Kimsingi kabla ya Kusema Yanga SC na GSM Wananunua Mechi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mwekezaji ( Tajiri wa Kurithi ) Mo Dewji hajawekeza vilivyo Simba SC kama tunavyodanganyika kila Kukicha.

2. Simba SC ya sasa inaendeshwa Kienyeji na Kihuni huku Uweledi wa Kiutendaji ukipuuzwa na hata kuwekwa Kando.

3. 85% ya Wachezaji wa Kigeni na hata Wazawa Waliosajiliwa ni wa 10% tupu.

4. 99% ya Waliopewa Dhamana ya Kuingoza Simba SC ni Wapigaji Watupu halafu ni Wasaliti pale Wakiahidiwa Pesa na Maadui.

5. Mchezaji Mmoja kuonekana ni Mungu Mtu ndani ya Kikosi huku Wageni Wakithaminiwa sana na Uongozi naengine kuonekana ni wa Kawaida na hata Kudharaulika imechangia Kuharibu Morali ya Timu.

6. Timu ( Simba SC ) imekosa Watu Mafia ( Wazee wa Michezo Michafu ) kwa Soka la Bongo ( Tanzania ) kama akina Marehemu Priva Mtema, Zachkaria Hanspoppe huku Sisi tuliobaki Hai Kaka Kassim Dewji, Mzee Hassan Dalali, Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna, Mtani wangu wa Kihaya Mwina Kaduguda, Mtani wangu wa Kirangi Juma Nkamia, Kaka na Poti wangu kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Crescentius Magori na Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.

7. Timu haina ( kukosa ) Benchi la Ufundi Imara kuanzia kwa Kocha Juma Mgunda, Kocha wa Viungo na Mwanasaikolojia mzuri wa Kuwajenga vyema Kiakili na Kiutulivu Wachezaji wa Simba SC ambao huhitaji kuwa na Degree au Masters au Doctorate kujua kuwa kwa sasa ( tena kwa jinsi Yanga SC ) inavyofanya vyema huku wakiendelea na Unbeaten Record yao hawako vyema Kisaikolojia kwakuwa hawa ( Yanga SC ) ndiyo Wapinzani Wao Wakubwa.

Kama nilivyowahi Kusema Msimu uliopita kuwa Yanga SC watakuwa Mabingwa na leo ( Msimu huu ) kwa Makosa ya Kipumbavu na Uzembe Wetu GENTAMYCINE nasema huku Nikijiamini kuwa kwa 99.9999% Yanga SC anaenda kuwa Bingwa tena wa NBC Premier League na Sisi Simba SC labda tujitahidi tu Kugombea na Azam FC nafasi ya Pili na Kombe la FA ambalo nalo naona Yanga SC wanaweza Kulibeba japo kwa sababu zangu Binafsi nawaona Azam FC wanaenda Kubeba FA na Msimu huu Simba SC tunaenda kutoka Kapa ( Patupu ) mpaka Akili zetu zitukae sawa na mtakapokuwa mnayaheshimu Mawazo yetu na Ushauri wetu akina GENTAMYCINE wenye Uchungu zaidi na Simba SC kuliko Wanafiki, Wasaliti na Wapigaji watupu wanaoiongoza Klabu kwa sasa.

Nikiwa kama mwana Simba SC, Mdau wa Soka na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka ya Dunia GENTAMYCINE nasema kuwa Yanga SC haihongi bali Yanga SC wamejifunza, wamejisahihisha, wameachana na Upuuzi, Uswahili na sasa Wanapambana na nawaona kwa Kujipanga Kwao ( hasa Kimkakati ) watafika mbali mno.

Ni Ukweli Mchungu ila tuukubali tu kwa sasa na bahati mbaya GENTAMYCINE siyo Muumini wa Unafiki, Uongo na Uwoga ambapo Ukipatia nitakupongeza ila Ukikosea tegemea kupata lawama zangu na Ukinisikiliza ( hasa Kiushauri ) Utafanikiwa ( Utatoboa ) zaidi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
1. Mwekezaji ( Tajiri wa Kurithi ) Mo Dewji hajawekeza vilivyo Simba SC kama tunavyodanganyika kila Kukicha.

2. Simba SC ya sasa inaendeshwa Kienyeji na Kihuni huku Uweledi wa Kiutendaji ukipuuzwa na hata kuwekwa Kando.

3. 85% ya Wachezaji wa Kigeni na hata Wazawa Waliosajiliwa ni wa 10% tupu.

4. 99% ya Waliopewa Dhamana ya Kuingoza Simba SC ni Wapigaji Watupu halafu ni Wasaliti pale Wakiahidiwa Pesa na Maadui.

5. Mchezaji Mmoja kuonekana ni Mungu Mtu ndani ya Kikosi huku Wageni Wakithaminiwa sana na Uongozi naengine kuonekana ni wa Kawaida na hata Kudharaulika imechangia Kuharibu Morali ya Timu.

6. Timu ( Simba SC ) imekosa Watu Mafia ( Wazee wa Michezo Michafu ) kwa Soka la Bongo ( Tanzania ) kama akina Marehemu Priva Mtema, Zachkaria Hanspoppe huku Sisi tuliobaki Hai Kaka Kassim Dewji, Mzee Hassan Dalali, Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna, Mtani wangu wa Kihaya Mwina Kaduguda, Mtani wangu wa Kirangi Juma Nkamia, Kaka na Poti wangu kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Crescentius Magori na Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.

7. Timu haina ( kukosa ) Benchi la Ufundi Imara kuanzia kwa Kocha Juma Mgunda, Kocha wa Viungo na Mwanasaikolojia mzuri wa Kuwajenga vyema Kiakili na Kiutulivu Wachezaji wa Simba SC ambao huhitaji kuwa na Degree au Masters au Doctorate kujua kuwa kwa sasa ( tena kwa jinsi Yanga SC ) inavyofanya vyema huku wakiendelea na Unbeaten Record yao hawako vyema Kisaikolojia kwakuwa hawa ( Yanga SC ) ndiyo Wapinzani Wao Wakubwa.

Kama nilivyowahi Kusema Msimu uliopita kuwa Yanga SC watakuwa Mabingwa na leo ( Msimu huu ) kwa Makosa ya Kipumbavu na Uzembe Wetu GENTAMYCINE nasema huku Nikijiamini kuwa kwa 99.9999% Yanga SC anaenda kuwa Bingwa tena wa NBC Premier League na Sisi Simba SC labda tujitahidi tu Kugombea na Azam FC nafasi ya Pili na Kombe la FA ambalo nalo naona Yanga SC wanaweza Kulibeba japo kwa sababu zangu Binafsi nawaona Azam FC wanaenda Kubeba FA na Msimu huu Simba SC tunaenda kutoka Kapa ( Patupu ) mpaka Akili zetu zitukae sawa na mtakapokuwa mnayaheshimu Mawazo yetu na Ushauri wetu akina GENTAMYCINE wenye Uchungu zaidi na Simba SC kuliko Wanafiki, Wasaliti na Wapigaji watupu wanaoiongoza Klabu kwa sasa.

Nikiwa kama mwana Simba SC, Mdau wa Soka na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka ya Dunia GENTAMYCINE nasema kuwa Yanga SC haihongi bali Yanga SC wamejifunza, wamejisahihisha, wameachana na Upuuzi, Uswahili na sasa Wanapambana na nawaona kwa Kujipanga Kwao ( hasa Kimkakati ) watafika mbali mno.

Ni Ukweli Mchungu ila tuukubali tu kwa sasa na bahati mbaya GENTAMYCINE siyo Muumini wa Unafiki, Uongo na Uwoga ambapo Ukipatia nitakupongeza ila Ukikosea tegemea kupata lawama zangu na Ukinisikiliza ( hasa Kiushauri ) Utafanikiwa ( Utatoboa ) zaidi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Timu kama Baso

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Umeandika mambo Mengi sana.

NADHANI MPIRA UNACHEZWA SEHEMU MBILI, NDANI YA UWANJA NA NJE YA UWANJA.
SIMBA INA MATATIZO NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA KOTE KOTE.

1. Timu za Simba na Yanga Huwa zinapokezana. Miaka 3 -4 Simba inakuwa Bora sana.
Miaka 3-4 yanga inakuwa Bora sana

2. Akina kapombe,shabalala Boko, Nyoni Mkude, Manura nk
Walikuwa kwenye aubora 2015-2021. Sasa wameanza kuchoka

3. TATIZO KUBWA LA SIMBA UKIACHA NJE YA UWANJA NI KUSHINDWA KUSAJILI WACHEZAJI WA MAAANA WENYE QUALITY YA KUCHEZA SIMBA.

Adebayor.
Lobi Manzoki.
Bambala.
Azizi ki.
Bobosi nk.

Badala yake imeng'ang'ania wachezaji wenye uwezo mdogo kama.....
Sackho.
Banda.
KIBU.
Kanute.
Akpan.
Dejan.
Okwa.
Ottara.
Onyango.
 
Na hizi mechi zilizobaki sijuwi kama tutatoboa aisee.Watu kazi kumlaumu mgunda.
 
1. Mwekezaji ( Tajiri wa Kurithi ) Mo Dewji hajawekeza vilivyo Simba SC kama tunavyodanganyika kila Kukicha.

2. Simba SC ya sasa inaendeshwa Kienyeji na Kihuni huku Uweledi wa Kiutendaji ukipuuzwa na hata kuwekwa Kando.

3. 85% ya Wachezaji wa Kigeni na hata Wazawa Waliosajiliwa ni wa 10% tupu.

4. 99% ya Waliopewa Dhamana ya Kuingoza Simba SC ni Wapigaji Watupu halafu ni Wasaliti pale Wakiahidiwa Pesa na Maadui.

5. Mchezaji Mmoja kuonekana ni Mungu Mtu ndani ya Kikosi huku Wageni Wakithaminiwa sana na Uongozi naengine kuonekana ni wa Kawaida na hata Kudharaulika imechangia Kuharibu Morali ya Timu.

6. Timu ( Simba SC ) imekosa Watu Mafia ( Wazee wa Michezo Michafu ) kwa Soka la Bongo ( Tanzania ) kama akina Marehemu Priva Mtema, Zachkaria Hanspoppe huku Sisi tuliobaki Hai Kaka Kassim Dewji, Mzee Hassan Dalali, Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna, Mtani wangu wa Kihaya Mwina Kaduguda, Mtani wangu wa Kirangi Juma Nkamia, Kaka na Poti wangu kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Crescentius Magori na Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.

7. Timu haina ( kukosa ) Benchi la Ufundi Imara kuanzia kwa Kocha Juma Mgunda, Kocha wa Viungo na Mwanasaikolojia mzuri wa Kuwajenga vyema Kiakili na Kiutulivu Wachezaji wa Simba SC ambao huhitaji kuwa na Degree au Masters au Doctorate kujua kuwa kwa sasa ( tena kwa jinsi Yanga SC ) inavyofanya vyema huku wakiendelea na Unbeaten Record yao hawako vyema Kisaikolojia kwakuwa hawa ( Yanga SC ) ndiyo Wapinzani Wao Wakubwa.

Kama nilivyowahi Kusema Msimu uliopita kuwa Yanga SC watakuwa Mabingwa na leo ( Msimu huu ) kwa Makosa ya Kipumbavu na Uzembe Wetu GENTAMYCINE nasema huku Nikijiamini kuwa kwa 99.9999% Yanga SC anaenda kuwa Bingwa tena wa NBC Premier League na Sisi Simba SC labda tujitahidi tu Kugombea na Azam FC nafasi ya Pili na Kombe la FA ambalo nalo naona Yanga SC wanaweza Kulibeba japo kwa sababu zangu Binafsi nawaona Azam FC wanaenda Kubeba FA na Msimu huu Simba SC tunaenda kutoka Kapa ( Patupu ) mpaka Akili zetu zitukae sawa na mtakapokuwa mnayaheshimu Mawazo yetu na Ushauri wetu akina GENTAMYCINE wenye Uchungu zaidi na Simba SC kuliko Wanafiki, Wasaliti na Wapigaji watupu wanaoiongoza Klabu kwa sasa.

Nikiwa kama mwana Simba SC, Mdau wa Soka na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka ya Dunia GENTAMYCINE nasema kuwa Yanga SC haihongi bali Yanga SC wamejifunza, wamejisahihisha, wameachana na Upuuzi, Uswahili na sasa Wanapambana na nawaona kwa Kujipanga Kwao ( hasa Kimkakati ) watafika mbali mno.

Ni Ukweli Mchungu ila tuukubali tu kwa sasa na bahati mbaya GENTAMYCINE siyo Muumini wa Unafiki, Uongo na Uwoga ambapo Ukipatia nitakupongeza ila Ukikosea tegemea kupata lawama zangu na Ukinisikiliza ( hasa Kiushauri ) Utafanikiwa ( Utatoboa ) zaidi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Yaani wewe. Mleta tuhuma ni wewe mwenye, halafu unatuomba sisi tena. Ukishaamua kutotoa hizo tuhuma, sizitakufa zenyewe tena kifo cha asili? Nimeshakwambia, matamshi yako unayotoa bila kutafakari huwa yanakurudia mwenyewe. Na bado, utageuza kila kitu ulichowahi kuandika humu.
 
Yaani wewe. Mleta tuhuma ni wewe mwenye, halafu unatuomba sisi tena. Ukishaamua kutotoa hizo tuhuma, sizitakufa zenyewe tena kifo cha asili? Nimeshakwambia, matamshi yako unayotoa bila kutafakari huwa yanakurudia mwenyewe. Na bado, utageuza kila kitu ulichowahi kuandika humu.
GENTAMYCINE leo amevujisha siri kuwa yeye ni Mchambuzi m’bobevu wa Masuala Mtambuka ya Dunia
 
Mshukuruni nesi anayekuhudumia hapo soba house, kimiminika ulichopewa Jana kimepunguza kwa kiasi kikubwa concentration ya Sembe a.k.a Ngada mwilini mwako. Nakupongexa soon utarudi kwenye utimamu wako mkuu.
 
GENTAMYCIME leo amevujisha siri kuwa yeye ni Mchambuzi m’bobevu wa Masuala Mtambuka ya Dunia
Naitwa GENTAMYCINE na siyo huyu Tapeli wa Kuiga ID yangu na kutaka Kusafiria Nyota yangu Kali hapa JamiiForums GENTAMYCIME uliyemtaja hapa sawa?

Na sikutegemea Mtu Smart na Mkongwe ungeshindwa Kuitaja hi Brand ID yangu ya GENTAMYCINE. Umeniangusha mno Comrade.

Nimejiunga JF 2013 yeye Pimbi 2022.
 
1. Mwekezaji ( Tajiri wa Kurithi ) Mo Dewji hajawekeza vilivyo Simba SC kama tunavyodanganyika kila Kukicha.

2. Simba SC ya sasa inaendeshwa Kienyeji na Kihuni huku Uweledi wa Kiutendaji ukipuuzwa na hata kuwekwa Kando.

3. 85% ya Wachezaji wa Kigeni na hata Wazawa Waliosajiliwa ni wa 10% tupu.

4. 99% ya Waliopewa Dhamana ya Kuingoza Simba SC ni Wapigaji Watupu halafu ni Wasaliti pale Wakiahidiwa Pesa na Maadui.

5. Mchezaji Mmoja kuonekana ni Mungu Mtu ndani ya Kikosi huku Wageni Wakithaminiwa sana na Uongozi naengine kuonekana ni wa Kawaida na hata Kudharaulika imechangia Kuharibu Morali ya Timu.

6. Timu ( Simba SC ) imekosa Watu Mafia ( Wazee wa Michezo Michafu ) kwa Soka la Bongo ( Tanzania ) kama akina Marehemu Priva Mtema, Zachkaria Hanspoppe huku Sisi tuliobaki Hai Kaka Kassim Dewji, Mzee Hassan Dalali, Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna, Mtani wangu wa Kihaya Mwina Kaduguda, Mtani wangu wa Kirangi Juma Nkamia, Kaka na Poti wangu kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Crescentius Magori na Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.

7. Timu haina ( kukosa ) Benchi la Ufundi Imara kuanzia kwa Kocha Juma Mgunda, Kocha wa Viungo na Mwanasaikolojia mzuri wa Kuwajenga vyema Kiakili na Kiutulivu Wachezaji wa Simba SC ambao huhitaji kuwa na Degree au Masters au Doctorate kujua kuwa kwa sasa ( tena kwa jinsi Yanga SC ) inavyofanya vyema huku wakiendelea na Unbeaten Record yao hawako vyema Kisaikolojia kwakuwa hawa ( Yanga SC ) ndiyo Wapinzani Wao Wakubwa.

Kama nilivyowahi Kusema Msimu uliopita kuwa Yanga SC watakuwa Mabingwa na leo ( Msimu huu ) kwa Makosa ya Kipumbavu na Uzembe Wetu GENTAMYCINE nasema huku Nikijiamini kuwa kwa 99.9999% Yanga SC anaenda kuwa Bingwa tena wa NBC Premier League na Sisi Simba SC labda tujitahidi tu Kugombea na Azam FC nafasi ya Pili na Kombe la FA ambalo nalo naona Yanga SC wanaweza Kulibeba japo kwa sababu zangu Binafsi nawaona Azam FC wanaenda Kubeba FA na Msimu huu Simba SC tunaenda kutoka Kapa ( Patupu ) mpaka Akili zetu zitukae sawa na mtakapokuwa mnayaheshimu Mawazo yetu na Ushauri wetu akina GENTAMYCINE wenye Uchungu zaidi na Simba SC kuliko Wanafiki, Wasaliti na Wapigaji watupu wanaoiongoza Klabu kwa sasa.

Nikiwa kama mwana Simba SC, Mdau wa Soka na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka ya Dunia GENTAMYCINE nasema kuwa Yanga SC haihongi bali Yanga SC wamejifunza, wamejisahihisha, wameachana na Upuuzi, Uswahili na sasa Wanapambana na nawaona kwa Kujipanga Kwao ( hasa Kimkakati ) watafika mbali mno.

Ni Ukweli Mchungu ila tuukubali tu kwa sasa na bahati mbaya GENTAMYCINE siyo Muumini wa Unafiki, Uongo na Uwoga ambapo Ukipatia nitakupongeza ila Ukikosea tegemea kupata lawama zangu na Ukinisikiliza ( hasa Kiushauri ) Utafanikiwa ( Utatoboa ) zaidi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mkuu GENTAMYCIME hapo juu umeaandika tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.
Huu mtizamo unaonyesha kwamba upo vizuri kwenye mfumo dume.

Ahsante
 
Punguza kuwa fokea matajiri mkuu ,kabla sijajiunga jf nilikuwa nasoma nyuz zako nyingi tu ,ila asilimia 90 za nyuz zako zote Ni lawama na kufokea watu

Acha hzo otherwise nikutakie mchan mwema kwa Sasa simanjiro lendanai
 
Back
Top Bottom