Simba SC hebu tumalizane Kwanza na haya Matatizo yetu ya Kimsingi kabla ya Kusema Yanga SC na GSM Wananunua Mechi

Kanute na sacko wanna uhafadhali
 
Aisee fanya mpango hilo parody lifungiwe coz nia yake ni kuleta taharuki dhidi ya sisi tunaofatilia madini yako humu,
next time nitakua makini mkuu
 
Punguza kuwa fokea matajiri mkuu ,kabla sijajiunga jf nilikuwa nasoma nyuz zako nyingi tu ,ila asilimia 90 za nyuz zako zote Ni lawama na kufokea watu

Acha hzo otherwise nikutakie mchan mwema kwa Sasa simanjiro lendanai
Karibu sana jeifuu mkuu.

Ila kitu unachotakiwa kukielewa mkuu ni kwamba huyu ndugu Genta ni mwana simba lia lia na hapa anajaribu kuonyesha jinsi mambo yanavyoendelea kwa sasa kwenye timu yake pendwa maana yeye yupo 'jikoni' anaelewa mchezo mzima.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbee Kuna muhuni anajiita hvyo dah nimechekaaa Kweli Kweli

Bas pengine yey ndio anakuaribia bas
 
Mkuu GENTAMYCIME hapo juu umeaandika tukipuuzwa na Mwanamke aliyejimilikisha kila Kitu cha Utawala na mengineyo ndani ya Timu CEO Barbara Gonzalez.
Huu mtizamo unaonyesha kwamba upo vizuri kwenye mfumo dume.

Ahsante
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaitwa gentamycine na siyo gentamycime
 
Nahisi pale Simba tatizo litakuwa ni Barbara, huenda akawa hapokei ushauri wa wenzake. Tangu ameshika nafasi ya juu Simba ikaanza kuporomoka.
Hata ukiangalia tu sura za akina Kaduguda na Try-again unawaona hawana furaha kabisa. Hao akina Magori ndo kama wamemsusia timu hata mikoani hawaendi na timu.
 
Kumbe Hara hujui Kaduguda no kabila gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…