sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Jana jioni, Simba SC iliingia uwanjani kujipima nguvu tena. Ilikua ni zamu ya timu ya Jang'ombe Boys toka Visiwani humo ambapo, walitandikwa goli 3-0.. Ni yule yule mchezaji aliye kwenye kiwango bora kwa sasa, Elias Maguli ndo alikua wa kwanza kuandika goli dk. ya 14.. Dk ya 17, Michael Mgimwa aongeza la pili, na aliyefunga kalamu ni Samir Omar katika Dk. ya 81.
Baadhi ya picha za gemu la jana:
View attachment 273437
Mabeki toka Zenji bhana, wanazani ili kuwazuia washambuliaji wa Simba SC unatakiwa ucheze kama Rugby.. Hapa Maguli aligeuka kidogo tu, beki akabaki anaduwaa tu.. Then jamaa akatupia kambani.
View attachment 273440
Hapa wachezaji, wakifurahia moja ya goli lililofungwa jana.
Hii ilikuwa ni mechi ya NNE kujipima ubavu, tangu Dylan Kerr.. Hebu cheki baadhi ya takwimu hapa chini.
Idadi ya Mechi... 4:
Goli za kufunga... 11:
Goli za kufungwa... 1:
Ukiangalia hizo data hapo juu.. tunagundua kua sasa defence yetu imekwiva vya kutosha, ile Great Wall of China imeshakamilika.. Kiungo imeimarika sana, ndo maana kina Maguli wanatupia kila wanavyotaka.. Sasa sipati picha Mwinyi Kazimoto a.k.a Ball Dancer, nae akiwa ndani, si kuna baadhi ya timu zitakua zinaogopa kurudi 2nd half?!
BONUS:
Kiungo mkabaji bora kabisa kuwahi kushudiwa nchini Zimbabwe yupo na timu ya Simba SC Unguja, akiangaliwa kwa umakini na Kocha mwenye Leseni A ya UEFA, ili asajiliwe.. Jina lake ni Justice Majbvi.. Naamini atampush sana Jonas Mkude, maana huyu dogo alikua hana mpinzani.
Hebu cheki mavitu yake hapa akiwa uwanjani.. Huyu jamaa ni mtu wa kazi asikwambie mtu.


Pia kazoea kubeba makombe.. Ambayo atakutana nayo msimu wa 2015/2016.

Kama mambo yataenda sawa, leo itakua zamu ya KMKM kukutana na dhahama la Simba SC.. Na hii inaweza ikawa mechi ya mwisho ya kujipima.
".. na Simba Day ifike mapema" - Sembo
Baadhi ya picha za gemu la jana:
View attachment 273437
Mabeki toka Zenji bhana, wanazani ili kuwazuia washambuliaji wa Simba SC unatakiwa ucheze kama Rugby.. Hapa Maguli aligeuka kidogo tu, beki akabaki anaduwaa tu.. Then jamaa akatupia kambani.
View attachment 273440
Hapa wachezaji, wakifurahia moja ya goli lililofungwa jana.
Hii ilikuwa ni mechi ya NNE kujipima ubavu, tangu Dylan Kerr.. Hebu cheki baadhi ya takwimu hapa chini.
Idadi ya Mechi... 4:
Goli za kufunga... 11:
Goli za kufungwa... 1:
Ukiangalia hizo data hapo juu.. tunagundua kua sasa defence yetu imekwiva vya kutosha, ile Great Wall of China imeshakamilika.. Kiungo imeimarika sana, ndo maana kina Maguli wanatupia kila wanavyotaka.. Sasa sipati picha Mwinyi Kazimoto a.k.a Ball Dancer, nae akiwa ndani, si kuna baadhi ya timu zitakua zinaogopa kurudi 2nd half?!
BONUS:
Kiungo mkabaji bora kabisa kuwahi kushudiwa nchini Zimbabwe yupo na timu ya Simba SC Unguja, akiangaliwa kwa umakini na Kocha mwenye Leseni A ya UEFA, ili asajiliwe.. Jina lake ni Justice Majbvi.. Naamini atampush sana Jonas Mkude, maana huyu dogo alikua hana mpinzani.
Hebu cheki mavitu yake hapa akiwa uwanjani.. Huyu jamaa ni mtu wa kazi asikwambie mtu.


Pia kazoea kubeba makombe.. Ambayo atakutana nayo msimu wa 2015/2016.

Kama mambo yataenda sawa, leo itakua zamu ya KMKM kukutana na dhahama la Simba SC.. Na hii inaweza ikawa mechi ya mwisho ya kujipima.
".. na Simba Day ifike mapema" - Sembo