gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Hivi kweli nyie mnashindwa kupiga hesabu ndogo!
Mmeenda na Gari, leo mmerudi na ndege, gari yenu iko wapi?? mnashindwa kupiga hesabu kuwa gari inarudi tupu inatumia mafuta yale yale ambayo ingetumia mngerudi nayo!
Sasa ona mnapoteza sh ngapi? nauli za ndege zenyewe zinazidi thamani ya ubingwa wenu! na mafuta juu mnapoteza!
Ngoja tar 12 tuwafundishe! hesabu
Mmeenda na Gari, leo mmerudi na ndege, gari yenu iko wapi?? mnashindwa kupiga hesabu kuwa gari inarudi tupu inatumia mafuta yale yale ambayo ingetumia mngerudi nayo!
Sasa ona mnapoteza sh ngapi? nauli za ndege zenyewe zinazidi thamani ya ubingwa wenu! na mafuta juu mnapoteza!
Ngoja tar 12 tuwafundishe! hesabu