Hivi kweli nyie mnashindwa kupiga hesabu ndogo!
Mmeenda na Gari, leo mmerudi na ndege, gari yenu iko wapi?? mnashindwa kupiga hesabu kuwa gari inarudi tupu inatumia mafuta yale yale ambayo ingetumia mngerudi nayo!
Sasa ona mnapoteza sh ngapi? nauli za ndege zenyewe zinazidi thamani ya ubingwa wenu! na mafuta juu mnapoteza!
Ngoja tar 12 tuwafundishe! hesabu
Ushindi wa tar 12, kama Namungo mmemshindwa ushindi huo mtaupata wapi?Yani wewe punje kweli. Simba ilikuwa waende kwa ndege warudi kwa ndege. Busara ikatumika wapunguze route moja ila ndege iwarudishe ili kuwahi ushindi wa tar12.
Halafu umaskini wako usisababishe ukampangia jirani mboga ya kula ili mlingane, shwaini
Inakuwaje Molinga aliyeingia dk ya 85 na kocha mkuu walienda shinyanga na ndege halafu kocha msaidizi na first eleven walienda na bus bovu?Simba mmezingua mkuu, sasa kwa nini mmenada na gari mmerudi na ndege! au budget ilibana
Mbona haichekeshi?Kwi kwi kwi kwi Simba banaaa eti wanapanda NDEGE na kutuonyesha vidole kuwa miaka 7 ijayo Mambo yatakuwa ivoivo.....yaani kwenda na bus,kuliacha,kurudi na ndege loooh😂😂😂
baada ya kutusema sna, tuliamua kuwaonyesha kuwa tunahela tunaweza safirisha mchezaji kwa ndege na tusimcheze pia!Inakuwaje Molinga aliyeingia dk ya 85 na kocha mkuu walienda shinyanga na ndege halafu kocha msaidizi na first eleven walienda na bus bovu?
Loooh zama zenu hizi.....Njaa na umasikini kwenye timu zenu msizihusishe na timu yenye fedha kama Simba Taifa Kubwa.
Apo chacha😂Ushindi wa tar 12, kama Namungo mmemshindwa ushindi huo mtaupata wapi?
😂😂Yani wewe punje kweli. Simba ilikuwa waende kwa ndege warudi kwa ndege. Busara ikatumika wapunguze route moja ila ndege iwarudishe ili kuwahi ushindi wa tar12.
Halafu umaskini wako usisababishe ukampangia jirani mboga ya kula ili mlingane, shwaini
Kwa hiyo kufanya hivyo hamkupoteza shilingi ila simba ndio wamepoteza shilingi utopolo bhanabaada ya kutusema sna, tuliamua kuwaonyesha kuwa tunahela tunaweza safirisha mchezaji kwa ndege na tusimcheze pia!
Hivi Yanga msimu huu au hata mechi za kirafiki wamewahi kumfunga Namungo?Ushindi wa tar 12, kama Namungo mmemshindwa ushindi huo mtaupata wapi?