SIMBA SC HONGERENI SANA

msolopaganzi1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
763
Reaction score
379
......Ubora wa Okwi, Chama na Wawa

Hakika hawa Wangekuwa Watanzania Tungeenda AFCON kiulaini Sana.
..Simba SC kuifunga Mbambane Goals 8-1 Si kitu cha kawaida.....What a performance? What a Talent? What a Brilliant hard working as a TeamWork.
#Hongereni Sana Simba
 
Ni kweli
Simba sc wanastahili pongezi.
Wamecheza katika kiwango bora kabisa.
Atakapoanza na yule beki mbili mambo yatakuwa moto zaidi.
John Boko inabidi ajirekebisha kama anataka kuendelea kucheza Simba.
Kasoro yake ni Papara tu.
Akipewa pasi anapiga bila ya kuliangalia goli na Kipa alivyokaa.
Matokeo yake anapiga nje au anamlenga kipa akiwa peke yake kabisa.
Boko tunakutegemea sana hebu angalia goli kabla ya kupiga mpira golini.
Goli moja ndio ushindi.
Uwezo unao, nguvu unazo, nia unayo unakosa umakini tu ea kumalizia.
Tulia acha haraka haraka sana
Jifunze kwa Chama na Okwi.
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…