Naam, namsubiri Nkana red devils nimfundishe soka kama ilivyokuwa kwa mbabane swallows mie nisonge mbele.Wacha weee.
Tusubiri tuone kikubwa usije kimbia kauli zako.Naam, namsubiri Nkana red devils nimfundishe soka kama ilivyokuwa kwa mbabane swallows mie nisonge mbele.
Wako mzuka sanaUkiacha ushindi wa goli 4 hata soko linalopigwa na Simba ni la ukweli sana. Simba italeta ushindani kimataifa
Ushauri
Aliyemleta Chama apewe jukumu la kumleta mbadala wa Boko
Bila shaka mkuu, Simba ina uhakika wa kupata matokeo kwenye mechi yoyote ile kutokana na ubora wa kikosi tulichonacho kwa sasa.Tusubiri tuone kikubwa usije kimbia kauli zako.
Naunga mkono hoja uliyoitoa kwenye last paragraph, kiukweli tunahitaji striker ambaye katika nafasi tatu atakazopata ana uwezo wa kutumia nafasi mbili na kukosa moja au kwa tabu sana atumie moja katika tatu atakazozipata.Ukiacha ushindi wa goli 4 hata soko linalopigwa na Simba ni la ukweli sana. Simba italeta ushindani kimataifa
Ushauri
Aliyemleta Chama apewe jukumu la kumleta mbadala wa Boko
Time will tellSimba ina kikosi bora
Mkuu hii ilikuwa back then 2018 unasema atafutwe mbadala wa bocco, leo ni 2023 bado bocco anapata nafasi pale wekundu.Ukiacha ushindi wa goli 4 hata soko linalopigwa na Simba ni la ukweli sana. Simba italeta ushindani kimataifa
Ushauri
Aliyemleta Chama apewe jukumu la kumleta mbadala wa Boko