We ulikuwa shahidi akinunua?Timu kainunuwa five years ago, unataka pesa za CAF achukuwe nani?
Ana haki ya kulalamika,Simba ni ya wanachama siyo ya Mo,yeye ana hisa tuMwenye mali yake anaizungumzia wewe usie na uwezo hata wa kununua jezi orijino unalalama huku mitandaoni
Eti ya wanachama πππAna haki ya kulalamika,Simba ni ya wanachama siyo ya Mo,yeye ana hisa tu
Wewe itakuwa unabishana hadi na redio.We ulikuwa shahidi akinunua?
Rage alipowaita mbumbumbu alimaanisha.Eti ya wanachama πππ
Ana haki ya kulalamika,Simba ni ya wanachama siyo ya Mo,yeye ana hisa tu
HujielewiWewe itakuwa unabishana hadi na redio.
Labda YangaEti ya wanachama πππ
Hakika uchawi upoMdomo usikome
Msiende na majibu yenu kwa uwanja
Hamtoamini
Sema neno, goal sita nyingiMwamwedi bhana anatabia za ajabu, SIMBA ikikaribia kupata zile Bilioni za CAF ndio anajitokeza kwenye media na kusema kapoteza hela nyingi ili kuwatoa wanachama kwenye FOCUS ya Mpunga wa CAF.
Ni kama vile jamaa anakamradi kake SIMBA inapotinga robo fainal. Kuna hela ya makundi na hela ya robo fainal. Ilikuwaziba mdomo anakuja na hadith za kupoteza Bil 51.
Sasa basi ;
Leo SIMBA SC Ifanyiwe kama siku ile pale kwa Ben na hao hao Galaxy .
Naomba kwa Mungu wa Mbinguni SIMBA afungwe goli 4-0 , kiherehere cha muhindi kiishe.
Amen na hii Dua
Ipokelewe katika mbingu zote
Shangaa nawee hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye mali yake anaizungumzia wewe usie na uwezo hata wa kununua jezi orijino unalalama huku mitandaoni