GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kufanya kosa si Kosa bali kurudia Kosa ndiyo Kosa. Kesho tukiwaacheni kwa Moko Alama sahauni kwani tayari tumeshajipanga hadi Ubingwa.
Kudadadeki....!!!!!!!
Kudadadeki....!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi tunaojua kuitafuta na kuitumia hii sio habari ngeni mjini..Kesho dakika ya Kwanza tu penatiiii
kabisa mkuu, huwezi zipiga timu zaidi ya sita goli 5 au 6 inaachwa hivi hiviNingekuwa raisi wa nchi hii ningefuta klabu ya yanga inali aibisha taifa
Nimeamini kile ni kikundi cha wahuni
Matokeo ya leo nani wa kumlaumu mkuu?weka sawa taarifa haichekwi kushinda magoli ya penati
inachekwa kupewa penati ambazo hazistahili
inachekwa kupewa mbereko kupitia penati za mchongo
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Ningekuwa raisi wa nchi hii ningefuta klabu ya yanga inali aibisha taifa
Nimeamini kile ni kikundi cha wahuni
Yule ni M23 wetu Simba tumemtuma pale.Mshua GENTAMYCINE naomba unisaidie kuuliza Mkude anafanya kazi gani pale yanga. .....
Kuwadi Mkuu wa Wachezaji wa Kigeni wa Simba, Yanga na Azam kwa Mademu wazuri na maarufu wa Dar es Salaam Ok?Mshua GENTAMYCINE naomba unisaidie kuuliza Mkude anafanya kazi gani pale yanga. .....
Unywe maji jua Kali mkuu!weka sawa taarifa haichekwi kushinda magoli ya penati
inachekwa kupewa penati ambazo hazistahili
inachekwa kupewa mbereko kupitia penati za mchongo