Simba SC inaonyesha maana halisi ya 'Kukodi' Ndege kwenda 'Vitani' na kurudi na Ushindi, ila wengine 'wanakodi' kwenda Kufeli na Kutuaibisha Wabongo

Simba SC inaonyesha maana halisi ya 'Kukodi' Ndege kwenda 'Vitani' na kurudi na Ushindi, ila wengine 'wanakodi' kwenda Kufeli na Kutuaibisha Wabongo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi unakodi vipi kabisa Ndege kwenda Kucheza Mechi yako ya CAF CL huku ukijitapa kabisa Kushinda na ndani ya Ndege unapandisha Waganga wa Kienyeji 60 kisha unaenda Kufungwa na kuja na sababu za Kitoto na Kipumbavu kuwa Umehujumiwa mara tena sijui Timu bado haijapata Muunganiko wa Wachezaji wake?

Sasa Sifa zote za nini na kama unajua huna Uwezo kwanini tu Hela hiyo ya Kukodi Ndege usisafiri 'Kikawaida' ili Pesa nyingine ukalipie Madeni Dawasco Klabuni Kwako na Kuzibua Vyoo vilivyojaa sana 'Nnya' kutokana na Kocha Mkuu Mwarabu ( Bina ) kupenda Kula Kula hovyo Urojo hadi Kiporo cha Makande na Kujisaidia vyoo vyote vya Klabuni?

Na nyie Makampuni ya Ndege Tanzania siku zingine muwe mnaangalia za Vilabu vya Kukodisha Ndege zenu kama Simba SC, Biashara United FC na Azam FC ila wengine muwe 'mnawachomolea' kama vipi wawe Wanaosafiri kwa Miguu ili wakome, wawe na Adabu na wawe wanashinda Mechi zao za Kimataifa na siyo 'Kuikamia' Simba SC pekee katika NBC Tanzania Premier League sawa?
 
Yule Ole nasikia alikuwa mwana Simba alivyoona mambo yanamwendea vibaya mbele ya Pilato akabadili gia angani akawa Mwana jangwani ili anusurike mvua 30, lakini no way!![emoji57]
Na ndiyo alipojikanyaga,ile jezi ina nuksi si unaona Utopolo walivyoigwa . nje ndani,na yeye hata kwenye hii kesi nyingi atakula nyundo za kufa mtu. Uto ni laana kubwa
 
Hawa utopwinyozi tutakua tunaangalia jiografia ya sehemu watakayokua wanaenda kucheza kama kuna bahari watakua wanaenda hata na mtumbwi wa upepo tu na kama ni njia ya bara bara wapande punda ni matumizi mabaya sana ya vyombo vya usafiri wanafanya
 
Hivi kukodi ni suala la kiutawala au ni suala la kiufundi uwanjani, kweli tuna safari ndefu ya kimtazamo kuinua Moira wetu
 
Back
Top Bottom