Simba SC is somethingwrong somewhere

Usitufokee
 
Wewe ni yanga na morrisson bado anakuuma sana yuko simba...
Tulia na sherehekea ushindi wako leo ingawa haujacheza
 
Kwa kifupi unamaanisha wazawa ni bure kabisa...
 
OKW BOBAN SUNZU nilikueleza kipigo anachokipata simba ni sawa na atakachokipata Tundu Lissu. Una mikosi mwaka huu ujue
Mambumbumbu mpo kwenye kikao cha kitchen party, wapuuzi sana ninyi hebu tuondeleeni umbumbumbu wenu humu nendeni kwenye group la mambumbumbu wenzenu mkalielie huko[emoji34]
 
Mkuu ni kweli kabisa...tatizo la kwanza kwa simba liko kwa kiungo mkabaji...mkude ni mzuri wakati timu inashambulia... ndio maana akicheza na fraga Katikati panakuwa imara....kwa sababu fraga ni mkabaji mzuri..
 
Mkuu ni kweli kabisa...tatizo la kwanza kwa simba liko kwa kiungo mkabaji...mkude ni mzuri wakati timu inashambulia... ndio maana akicheza na fraga Katikati panakuwa imara....kwa sababu fraga ni mkabaji mzuri..
Huo ndo ukweli, fraga hakubali kupitwa kirahisi na physique yake yupo imara kuliko Mkude.

Ili Mkude afanye vizuri, lazima kuwepo overlapping ya viungo wakabaji wawili ili asaidiwe kuchezesha viungo washambuliaji na mawinga. Refer enzi za kotei akiwa simba, Mkude alikuwa Bora Zaidi.
 

Sijui kamati ya usajiri Simba kwa nini hawalioni hili tatizo....Mkude hawezi kucheza nafasi ya kiungo mkabajji.... Na ndio maana wakati wa Kotei... Mkude alipokonywa namba.... Mara nyingi alicheza kama kiungo mshabuliaji...juu ya Kotei...angalia magoli mengi anayofungwa simba...yanapitia Katikati..... ngumu sana kuifunga Simba kupitia pembeni.....Goli la prison liliniuma sana...yaani mchezaji anarushiwa mpira...anatuliza.... anarudi nyuma...anapiga mpira kama vile ni mpira wa adhabu..bila kusumbuliwa na mchezaji yeyeto wa Simba....sijui club bingwa itakuaje.
 
Kucheza kiungo mkabaji lazima uwe offensive katika ukabaji na usikae na Mpira utoe pasi haraka kuwaamsha viungo washambuliaji na mawinga wawe active and faster.

Fraga huwa hataki udambwi udambwi anaokoa na kutoa pass haraka Jambo ambalo Jonas Mkude linazidi kupungua, anapata kigugumizi Sana na kuishia kupokonywa mipira.
 
Mkude akiwa na mpira anaangalia upande mmoja wa kutoa pasi halafu ana kigugumizi mguuni pia hana maamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…