Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Usimseme vibaya Babu yangu OnyangoNi bure plus
Lakini pia why wachezaji hawafight kama wanaotaka ushindi..
Huyu onyango ni bora mwamnyeto
AiseeeCEO wa Simba anafanya kazi Simba anenda kulala na watu wa yanga unadhani hapo kuna kazi tena
Tujiandae kwa hamsa zingine labda tukutane na Comoro au ShelisheliSijui kamati ya usajiri Simba kwa nini hawalioni hili tatizo....Mkude hawezi kucheza nafasi ya kiungo mkabajji.... Na ndio maana wakati wa Kotei... Mkude alipokonywa namba.... Mara nyingi alicheza kama kiungo mshabuliaji...juu ya Kotei...angalia magoli mengi anayofungwa simba...yanapitia Katikati..... ngumu sana kuifunga Simba kupitia pembeni.....Goli la prison liliniuma sana...yaani mchezaji anarushiwa mpira...anatuliza.... anarudi nyuma...anapiga mpira kama vile ni mpira wa adhabu..bila kusumbuliwa na mchezaji yeyeto wa Simba....sijui club bingwa itakuaje.
Mufululizo, we vipi? Timu ifungwe mfululizo, nenda zako kalale,
Kwamba kusajiliwa kwa Morrison ndio kumeshusha kiwango cha Simba? Kwamba maneno ya Manara ndio yanafanya timu isishinde uwanjani? Mbona naona kama hakuna uhusiano! Nahisi umeandika tu bila utulivu. Angalia sababu za kiufundi, hizo ulizoleta sio kabisa. Kwanza hela ya usajili wa Morrison ni ndogo kabisa, ungejua
Hakuna timu inayofungwa bila sababu. Hivi Simba iliyofungwa hizi mechi mbili umeiona ikicheza Kama ambavyo imeanza ligi?Real Madrid kapigwa mechi ngapi?.
Nyie mashabiki MAANDAZI kuwa kila siku mnataka timu ISHINDE mpira HAUENDI HIVYO.
na ni akili za kitoto kuwa kufungwa timu basi kuna matatizo Kama uliyoyasema wewe.
BADILIKA
Hakuna timu inayofungwa bila sababu. Hivi Simba iliyofungwa hizi mechi mbili umeiona ikicheza Kama ambavyo imeanza ligi?
Hakuna mtu aliyelalamika tulipofungwa na jkt mwaka Jana pale taifa kwa sababu tulifungwa lakini tulicheza vizuri lakini mechi hizi mbili tumepigwa na tumecheza vibaya
Hakuna tim isiyofungwa-,watu mpo vigeugeu sana asee.Timu kufungwa ni kawaida .
Sasa unapoanza kusema tumefungwa sababu Morrison kasajiliwa Simba.
Hizo NI sababu za kitoto.
Hakuna timu isiyofungwa.
Kikubwa uongozi wa Simba upo na benchi la ufundi lipo watairekebisha.
Mambo ya kuanza kujifanya tunajua kila kitu hayo tuwaachie YANGA..
Nasikia mwamwedi anamuamkia shikamoo, teh!Usimseme vibaya Babu yangu Onyango
Sindano imewaingiaMambumbumbu mpo kwenye kikao cha kitchen party, wapuuzi sana ninyi hebu tuondeleeni umbumbumbu wenu humu nendeni kwenye group la mambumbumbu wenzenu mkalielie huko[emoji34]
Wapuuzi sana haoHakuna tim isiyofungwa-,watu mpo vigeugeu sana asee.
Sana mkuu,walijinasibu kwamba wao ni next level sijui na vitu ganWapuuzi sana hao
Mkuu niondoe ukakasi swala la captain match ya Jana. Maana captain ni Bocco na msaidizi wake ni Zimbwe. Jana Zimbwe alianza match lakini captain alikuwa Mkude,na hata Bocco alipoingia Mkude akabaki kuwa captain hadi match inaisha,hii imekaaje?Hakuna timu inayofungwa bila sababu. Hivi Simba iliyofungwa hizi mechi mbili umeiona ikicheza Kama ambavyo imeanza ligi?
Hakuna mtu aliyelalamika tulipofungwa na jkt mwaka Jana pale taifa kwa sababu tulifungwa lakini tulicheza vizuri lakini mechi hizi mbili tumepigwa na tumecheza vibaya
Bocco kashajibu hili kasema kwamba alipokuwa anaingia wote walikuwa wamekazia macho kutafuta goli hivyo akasahau kwenda kuchukua kitambaa kwa mkudeMkuu niondoe ukakasi swala la captain match ya Jana. Maana captain ni Bocco na msaidizi wake ni Zimbwe. Jana Zimbwe alianza match lakini captain alikuwa Mkude,na hata Bocco alipoingia Mkude akabaki kuwa captain hadi match inaisha,hii imekaaje?
Zimbwe alianza mbona bado capten alikua mkude?Bocco kashajibu hili kasema kwamba alipokuwa anaingia wote walikuwa wamekazia macho kutafuta goli hivyo akasahau kwenda kuchukua kitambaa kwa mkude