mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Smba imetutia aibu tunatukanwa sana .Tunazomewa kila kona,viongozi masikini bado wanaitaka.
Ndugu Dewji ichukue na utuondolee kadhia hii. Sisi tunaitaka simba ifanikiwe,hatutaki kwenda club kujadili katiba ya simba. Tumeshindwa kufikiri sahihi juu ya kuiongoza simba.
Tunakuomba Dewji utusaidie kufikri na kuweka fikra zako kwenye plan, plan hiyo ikihitaji fedha toa fedha unazo. Sisi muda mwingi tunapiga mdomo bila fedha matokeo tunadhalilika.
Simba imejaa mamluki watupu wapiga dili wasio na kitu mfukoni. Walionacho ni wachache wenye fedha za kulipia ada watoto zao. Simba inacheza haina hata mchezaj mmoja tishio. Unapokabiliana na simba sawa sawa na kucheza na majimaji au african sport.
Tunataka simba kamili yenye nguvu sio bahatisha bahatisha. Hatutaki kulea vipaji ligi kuu isipokuwa vipaji vikalelewe simba B. Aveva na wenzako kabidhini timu iwekeni sokoni ipigwe mnada.
Ndugu Dewji ichukue na utuondolee kadhia hii. Sisi tunaitaka simba ifanikiwe,hatutaki kwenda club kujadili katiba ya simba. Tumeshindwa kufikiri sahihi juu ya kuiongoza simba.
Tunakuomba Dewji utusaidie kufikri na kuweka fikra zako kwenye plan, plan hiyo ikihitaji fedha toa fedha unazo. Sisi muda mwingi tunapiga mdomo bila fedha matokeo tunadhalilika.
Simba imejaa mamluki watupu wapiga dili wasio na kitu mfukoni. Walionacho ni wachache wenye fedha za kulipia ada watoto zao. Simba inacheza haina hata mchezaj mmoja tishio. Unapokabiliana na simba sawa sawa na kucheza na majimaji au african sport.
Tunataka simba kamili yenye nguvu sio bahatisha bahatisha. Hatutaki kulea vipaji ligi kuu isipokuwa vipaji vikalelewe simba B. Aveva na wenzako kabidhini timu iwekeni sokoni ipigwe mnada.