Simba SC izuieni upesi hiyo Alphard nyeusi inayokuja Kambini na Mdau wa Simba SC ina Watu wabaya Kwetu

Simba SC izuieni upesi hiyo Alphard nyeusi inayokuja Kambini na Mdau wa Simba SC ina Watu wabaya Kwetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
 
GENTAMYCINE unaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wako ila kwa upande mwingine mpira wa kisasa haya mambo ya kulishana yamini ni ya kilongi afu yanakwaza Club na wachezaji pia, kila machezaji ana imani yake sasa kuanza kuapishana tena wakati kila kitu kipo kwenye mkataba wake inakuwa kikwazo.

Ok, wacha tuseme haya mambo yapo na yanafanya kazi, swali linakuja je kwa nini timu zetu kubwa kwa mfano Simba, Yanga, Azam na hata timu ya Taifa mara nyingi hatutoboagi kimataifa?

Anyway, kwa imani yangu sidhani kama vitu hivi vina exist kama kuzindika uwanja, yamini kwa wachezaji ama kufunga wachezaji miguu.

Poleni lakini kama nitawakwaza.
 
Yooooo oops my God, 22rd century bado tupo kwenye imani za kichawi!,huku lingusenguse wengi elimu yao ni ya msingi, ILA hawaamini kuwa uchawi ni sehemu ya ushindi, mbona Africa tungeshashinda world cup!,technology, mazoezi, commitment ya wahusika wote ndio uchawi wa ushindi, Bayern kapigwa 3-0na Man City, tuamini ile center half ya Bayern ililogwa?
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.



Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
We jamaa wewe.
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
Naomba jina la Paroko wako nikamwambie Imani yako mpya uliyoingia ili akufute kwenye daftari la Kanisa.
 
Naomba jina la Paroko wako nikamwambie Imani yako mpya uliyoingia ili akufute kwenye daftari la Kanisa.
Labda nikupe Jina la Mwenyekiti wa Jumuiya yangu ya Kikatoliki ambaye Kutwa nagongana nae katika Korido za Gesti / Loji mbalimbali wakati ana Mke ( tena wa Ndoa ) kabisa.
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
Mbona huo udongo tumeishachotewa na mdau wenu? Umechelewa. Siyo hiyo tu hadi nywele za wachezaji wenu za chini tunazo. Haya shughuri mnayo hiyo J2
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
Uchawi ulioasisiwa na Babu Yako Na Mchawi
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
KUMEKUCHA...njia pekee timu yako kushinda hii game ni YANGA kutoingia uwanjani then mpewe ushindi wa mezani,tofauti na hapo mtafukuza gari zote hapo kambini lkn Wananchi wakiingiza mguu uwanjani ni KILIO KWENU MADUNDUKA
 
Uongozi wa Simba SC pitieni sana hapa Jamiiforums na muwe mnanisikiliza mno Mimi GENTAMYCINE sawa?

Nawapambania kuliko hata hao Wanafiki baadhi walioko Kambini kwa sasa.

Haya GENTAMYCINE naamuru haraka sana hiyo Gari aina ya Alphard Nyeusi iishie nje na isiingie Kambini ina Mtu Kirusi na Mganga wa Maadui wetu.

Ni kwamba tumeshawabana kila Kona na wanachokitaka sasa ni Kuvizia Udongo na Nyasi ( kwa Kuzichota Kidogo ) ili Wakawafunge Miguu Wachezaji Wetu na Wawe Wazito kama walivyotufanyia mara Mbili huko nyuma na Kutuweza.

Tafadhali Mtu pekee ambaye nawashauri mumtumie katika Ulipuaji wa Mabomu awe ni Ngande na hakikisheni Safari hii hamumdhulumu Pesa yake kwani anajitoa sana kwa ajili ya Klabu yetu huku akihatarisha hadi Maisha yake.

Nasisitiza kuwe na Usiri mkubwa ila ule Utamaduni wa Wachezaji kulishwa Yamini ( ulioenziwa na Marehemu Mzee Bamchawi ) uwepo.

Naipambania Simba SC yangu kwa namna yangu ya Kipekee na najitoa Mhanga ili Jumapili ishinde hivyo waambieni Wachezaji tukifungwa na Yanga SC mtu ambaye huenda nikaumia mno na sana ni Mimi GENTAMYCINE.

Yafanyieni Kazi yote ninayowaambia.
sasa alphard mtaizuia,manula je mtamzuia?
 
Keshokutwa unapigwa na uchawi wako huko wa kishamba. Hivi unajue element za umaskini ni kuamini uchawi??
 
uaunda kikosi Cha hovyo baadae uanze kuamini ushirikina,niujinga,waiyo raja waliwaroga ? Mpaka umkaliwa in and out
 
Back
Top Bottom