Simba Sc Kateni Rufaa.

Simba Sc Kateni Rufaa.

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
Habari za chini ni kwamba madawa ya kuongeza nguvu yamepigwa marufuku michezoni. Haiwezekani As Vita watumie vumbi la kongo na waachwe tu hivi hivi.
 
Acha bange, fanyeni mazoezi mechi ya marudiano haiko mbali mtaabika kws mchina.
 
Acha bange, fanyeni mazoezi mechi ya marudiano haiko mbali mtaabika kws mchina.
Ujue kinachoiponza Simba sio kama mna timu mbovu ila dharau. Hamjuagi ipi timu kubwa ipi timu ndogo, wakati gani mshambulie wakati gani mjilinde, wapi mshambulie wapi mpaki basi. Nyie mnajiendea tu heshima kwa mpinzani wenu hakuna mnaamini kila timu mnaiweza. Kwa uchezaji wa wale jamaa hata hapo mnapopaita kwa mchina nawashauri mfunguke kwa tahadhari wale sio waarabu kwamba jua litawachosha.
 
Back
Top Bottom