GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Najua baadhi ya watu (waliokutwa na tatizo) wamekereka na kukwazika na usumbufu wa kuwa na tiketi na kutoingia ndani jana Uwanja wa Taifa katika Simba Day.
Nichukue nafasi hii kuuomba Uongozi wa Simba SC kutochelewa kuwaomba radhi wahusika waliokutwa na kadhia hii.
GENTAMYCINE nashauri ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC ufanye utaratibu maalum wa kuwajua na kujua Idadi yao kisha wafidiwe kwa kuingia bure hata mechi mbili za Simba SC na kwa wale walio mbali wanaweza kurejeshewa fedha zao.
Na katika kuomba kwao radhi huko uongozi wa Simba SC utoe ahadi kwa wadau wa michezo nchini na hakikisho kuwa kadhia hii iliyojitokeza haitokuja kutokea tena.
Poleni sana nyote mliopata kero hii.
Nichukue nafasi hii kuuomba Uongozi wa Simba SC kutochelewa kuwaomba radhi wahusika waliokutwa na kadhia hii.
GENTAMYCINE nashauri ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC ufanye utaratibu maalum wa kuwajua na kujua Idadi yao kisha wafidiwe kwa kuingia bure hata mechi mbili za Simba SC na kwa wale walio mbali wanaweza kurejeshewa fedha zao.
Na katika kuomba kwao radhi huko uongozi wa Simba SC utoe ahadi kwa wadau wa michezo nchini na hakikisho kuwa kadhia hii iliyojitokeza haitokuja kutokea tena.
Poleni sana nyote mliopata kero hii.