Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Acha kuhaha mzee. Kama umerudi kutoka lindo usiwalazimishe wanasimba kuchangia muda unaoutaka wewe.Dogo acha kukariri maisha. Vipi kama nimerudi kutoka lindo saa 12 asubuhi? Bado una ujasiri wa kuniita jobless! Vipi kama ninakula mafao!! Bado utaniita jobless!!
Siku hizi manufaa ya simba yanapangwa na wanayanga?Wanasimba mkaujaze uwanja wa mkapa.
Tamasha lenu likafane.
Eti ooooh tamasha lao limedoda uwanja haujajaa.
Rekodi ya kuujaza uwanja wa mkapa saa saba inashikiliwa na simba.
Najua lote hili la daslam unaenda kujianika kwa mkapa.
Shida zote hizo za nini wakuu.
Tatizo simba inataka kuonekana ni kubwa kwa yanga kwa kuivizia yaani wanasubiri yanga wafanye matukio iliwao waangalie ni yapi yanga hajayafanya ili kuipiku.
Fanyeni vitu kwa maslahi yenu.
Mahesabu madogo tu ya akili
Mzunguko
40000*5000= 200000000 (simba)
30000*10000=300000000 (yanga)
Uwanja utajaa ila hamna manufaa.
Utafanya nivae miwani yangu sasa 😁🏃🏃[emoji23][emoji23]basi umekosa uhondo babu
Mpaka washinde dhidi ya African stars..Hii sjui ni coicedence au watu walishachungulia,Hawa jamaa tutacheza nao game tatu in two mounth
Power mzito kidogo nahisi atatoboa hapoMpaka washinde dhidi ya African stars..
[emoji28][emoji28][emoji28]Utafanya nivae miwani yangu sasa [emoji16][emoji125][emoji125]
TafakariHii sjui ni coicedence au watu walishachungulia,Hawa jamaa tutacheza nao game tatu in two mounth
Typing errorPower dynamo watacheza na Simba July 6 mwaka kesho ama?
Hiyo ya kirafiki Simba Day inatakiwa ifutwe. Timu inayoalikwa Simba Day hua ni timu rafiki sasa mtu mshapangwa na CAF kukutana huyo sio rafiki yako tena.Hii sjui ni coicedence au watu walishachungulia,Hawa jamaa tutacheza nao game tatu in two mounth
Ondoa shaka mkuu watu wanajua wanachokifanya,Simba imekaa kitaalam apo mkuu,..Hiyo ya kirafiki Simba Day inatakiwa ifutwe. Timu inayoalikwa Simba Day hua ni timu rafiki sasa mtu mshapangwa na CAF kukutana huyo sio rafiki yako tena.
Anaweza kuumiza wachezaji wako muhimu kwenye friend match ili mkikutana CAF uwe dhaifu akutoe. Pia kuna swala la kusomana aina ya uchezaji pia.
WanaSimba tunahitaji kufurahia na kusherehekea TAMASHA letu. Wewe mwenye lengo la kutafuta Pesa tafuta pesa. Kuadhimisha mmeiga kwa Simba halafu leo mnataka kutufundisha namna ya kuendesha Tamasha. Wewe kweli hamnazo na ni kweli wenye akili huko kwenu ni JK na Baba Manara. OverWanasimba mkaujaze uwanja wa mkapa.
Tamasha lenu likafane.
Eti ooooh tamasha lao limedoda uwanja haujajaa.
Rekodi ya kuujaza uwanja wa mkapa saa saba inashikiliwa na simba.
Najua lote hili la daslam unaenda kujianika kwa mkapa.
Shida zote hizo za nini wakuu.
Tatizo simba inataka kuonekana ni kubwa kwa yanga kwa kuivizia yaani wanasubiri yanga wafanye matukio iliwao waangalie ni yapi yanga hajayafanya ili kuipiku.
Fanyeni vitu kwa maslahi yenu.
Mahesabu madogo tu ya akili
Mzunguko
40000*5000= 200000000 (simba)
30000*10000=300000000 (yanga)
Uwanja utajaa ila hamna manufaa.