Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mpaka sasa nje ya uwanja Wydad anaongoza mbili kwa moja, ngoja tusubiri ndani ya uwanja tuone mambo yatakuwaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi siyo rahisi kama mnavyodhania, hii ni champions leage mzee hakuna mnyonge subiri uone mechi itakavyokuwa kesho.Basi tuko tofauti kidogo
Juzi nimeota kolo kala 4 _0
Jana nmeota kala 6____0
Ndoto tu hizo na wewe unachukulia serious, ww umeelezea ulivyo waza na yy alivyo ota.Hii mechi siyo rahisi kama mnavyodhania, hii ni champions leage mzee hakuna mnyonge subiri uone mechi itakavyokuwa kesho.
Siku uliyo ota umejinyea usingizini ulipoamka ilikuwaje?Basi tuko tofauti kidogo
Juzi nimeota kolo kala 4 _0
Jana nmeota kala 6____0
Geuza kinyume chakeMpaka sasa nje ya uwanja Wydad anaongoza mbili kwa moja, ngoja tusubiri ndani ya uwanja tuone mambo yatakuwaje.
View attachment 2601501
Sasa matokeo yakiwa hvyo si ni faida kwa simba waydad hana chake au ww unawaza vpMpaka sasa nje ya uwanja Wydad anaongoza mbili kwa moja, ngoja tusubiri ndani ya uwanja tuone mambo yatakuwaje.
View attachment 2601501
Au siyo 😂Ume tudharau sana sisi waarabu wydad hatupigi chini ya 5 kwetu
Basi tuko tofauti kidogo
Juzi nimeota kolo kala 4 _0
Jana nmeota kala 6____0
Goli chache sana hizo kwa Wyadad Casablanca! Tena kwenye uwanja wake wa nyumbani.Mpaka sasa nje ya uwanja Wydad anaongoza mbili kwa moja, ngoja tusubiri ndani ya uwanja tuone mambo yatakuwaje.
View attachment 2601501
Basi tufanye 7-0Goli chache sana hizo kwa Wyadad Casablanca! Tena kwenye uwanja wake wa nyumbani.
Mbona mi nina akiba siku nyingi tu kuwa Simba imekutana na timu dhaifu ndiyomaana iliifunga 1-0 kwa Mkapa?Nawaza tu hapa ,mara paaaa Simba huyo nusu fainal sijui hawa jamaa wa upande wa pili watakuja na lipi la kuongea na hawachelew kubadir gia angan.
Jaman huu ni mpira tuwe na akiba kidogo ,wanacheza wanaume 22 uwanjan .