Simba SC kumbe hata billion 4 hawamiliki?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Inasikitisha sana Mo ni tapeli sana

Top 10 richest Football clubs in Africa 2020/21.

1. Al Ahly SC Flag of Egypt-$28.2m

2. Mamelodi Sundowns Flag of South Africa-$24.4m

3. Pyramids FC Flag of Egypt-$22m

4. Royal AM Flag of South Africa -$20m

5. Zamalek SCFlag of Egypt-$18m

6. L’Esperance Tunis -$11m

7. Wydad CasablancaFlag of Morocco-$12m

8. Orlando pirates- $7.1m Flag of South Africa

10. Kaizer Chiefs Flag of South Africa-$2.1m

 
Fake statistics, hiyo labda utopoloni ndo inaweza kua acceptable

List sahihi club ya kumi Ina $10M ni MC Alger ambaye hata kwenye list yako haipo

Alafu kaizer chief anacheza kwenye $20M we unatuambia $2M hivi uko serious kweli?
 
Dah asie namwali sasa kaamua kueleka jiwe kwelikweli! Yaan unataka kupoza machungu ya ngezane fc kukosa ubingwa kwakuipondea simba eti hawana hela?

Wewe kama shabiki unataka hela au burudani swaaafi na msuziko wa moyo kama wanaotupaga kina morison, chama, miquison au bwalya? Utopolo kanye ule huko, janja janja mingi but empty mauwezo
 
Kwa mujibu wa MO thamani halisi ya Simba kwa hesabu ya Aset ilizonazo zisizo hamishika ni Billion tatu.

Sasa Kuna wadau wakasema nembo ya Simba Ina thamani kubwa kwakua ina mashabiki wengi, ilo ni kweli lakini je! kabla ya kuja MO Simba kwakutumia ao wanao daiwa mashabiki wengi ilisha wahi kuingiza bilion moja katika biashara yoyote?

Maanayake bila MO kupandisha thamani ya Simba kwa kuingiza fedha zake za mfukoni Simba ipo vilevile ambayo inaingiza million 300 kwa mwaka kwa kupitia vyanzo vyake vyote vya fedha.
 
Takwimu hizi zinaisaidia vipi Yanga inayokimbiwa na wachezaji wake kwa kushindwa kuwalipa mishahara? Luc hakukosea kuwaita nyie manyani .
 
uko sahihi mkuu
 
Hii kitu yako ni fake, hebu angalia nafasi ya sita na ya saba uniambie nani anastahili kuwa juu ya mwenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…