Ndio huyo huyoItakuwa wanampandisha cheo labda.
Huyu si ndio tuliambiwa kuwa ndio CEO mahiri kuliko wote na amealikwa mara sijui ufunguzi wa michezo ya afrika mara sijui kapiga picha na Rais wa UEFA sijui FiFA?
akafie mbele..asitake umaarufu kwanguMama yako mdogo
SAA 2:30 Bado tu wazee.....kuhusu hiyo taarifa ya CEO wetu makolo
tuliza boflo, mbona unakimuhemuhe sana umekalia???SAA 2:30 Bado tu wazee.....kuhusu hiyo taarifa ya CEO wetu makolo
Huwezi kumjua kwasababu kwenye ukoo wenu aliesoma sana kaishia form four,mama yako ni bar med sasa mtu mwenye masters ya London school of economics utamjuaje? Wewe pambana na hao akina mwajuma vijora ndio unawajua vizuri chao.Ndio nan huyu
Hakujui na hatokujua milele daima!akafie mbele..asitake umaarufu kwangu
Nipe namba yako..kwa uandishi huu utakuwa na wowowo tamu sanaHuwezi kumjua kwasababu kwenye ukoo wenu aliesoma sana kaishia form four,mama yako ni bar med sasa mtu mwenye masters ya London school of economics utamjuaje? Wewe pambana na hao akina mwajuma vijora ndio unawajua vizuri chao.
Mi simjui ndo maana nimeulizaHakujui na hatokujua milele daima!
Ila wewe unamjua na utaendelea kumjua kaka sema amina
wanaume mme haribika siku hiziHuwezi kumjua kwasababu kwenye ukoo wenu aliesoma sana kaishia form four,mama yako ni bar med sasa mtu mwenye masters ya London school of economics utamjuaje? Wewe pambana na hao akina mwajuma vijora ndio unawajua vizuri chao.
Humjui kweli? ππ hata kwa picha kaka? ππMi simjui ndo maana nimeuliza
Kwa kichambo hiki, ashakum si matusi!Huwezi kumjua kwasababu kwenye ukoo wenu aliesoma sana kaishia form four,mama yako ni bar med sasa mtu mwenye masters ya London school of economics utamjuaje? Wewe pambana na hao akina mwajuma vijora ndio unawajua vizuri chao.
Sawa Mamatuliza boflo, mbona unakimuhemuhe sana umekalia???