Simba SC kutoa taarifa mpya kuhusu Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez

Itakuwa wanampandisha cheo labda.

Huyu si ndio tuliambiwa kuwa ndio CEO mahiri kuliko wote na amealikwa mara sijui ufunguzi wa michezo ya afrika mara sijui kapiga picha na Rais wa UEFA sijui FiFA?
Sasa imebadilika kwani?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kumjua kwasababu kwenye ukoo wenu aliesoma sana kaishia form four,mama yako ni bar med sasa mtu mwenye masters ya London school of economics utamjuaje? Wewe pambana na hao akina mwajuma vijora ndio unawajua vizuri chao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…