Simba sc kutoka timu ya makinda hadi timu ya Vibabu

bujashi25

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
623
Reaction score
112
Inavyoonekana timu ya wanaoitwa 'makinda fc' ndo bac tena sasa hiv wamegeukia vibabu vya kimataifa...ngoja tuwaone ISIDINGO Fc aka wazee wa next seasons aka wazee wa kujipanga msimu ujao wameshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO haiishagi kila msimu wao wanasema wanajipanga msimu ujao
 
 
Medeama haoo (jifiche)
 

Hivi Hospitali ya Vichaa Milembe bado hawajaanza tu kutafuta Wagonjwa wao waliotoroka?
 
acha majungu ww mtaisoma mwaka huu
Tuisome namba kwa lipi? Nyie ISIDINGO fc shame on you...wakati WAKIMATAIFA wakiendelea kukamua tiz la uhakika nyie mmekazana kusajili vibabu naona maisha ya OMong pale Shura matopen Sports club yakiwa mafupi mno
 
Yanga wazee wa kudhalilisha kimataifa hamna kitu mtaisoma number
 
Hivi Hospitali ya Vichaa Milembe bado hawajaanza tu kutafuta Wagonjwa wao waliotoroka?
GENTAMYCINE mwenzako Sembo naona alishaga acha kisabengo na kimbelembele chake, Tangu yule kocha wake Mwenye lesen daraja A ya FIFa wampuge pale Matopen fc kesha kuwa mpole kama maji mtungini
 
Yanga wazee wa kudhalilisha kimataifa hamna kitu mtaisoma number
Nyie ISIDINGO fc hamna jipya niaher na coastal iliyoteremka daraja kuliko Chura matopen Sports club na msipoangalia mtaenda msimu wa Tano mkiendelea kubwabwaja hivyo hivyo...kila msimu ukifika mwisho yule Tajiri yenu Hanspope aka 'Mr. Kazi nyingi' anawaambia eti mtanjipanga msimu ujao mmeshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…