Inavyoonekana timu ya wanaoitwa 'makinda fc' ndo bac tena sasa hiv wamegeukia vibabu vya kimataifa...ngoja tuwaone ISIDINGO Fc aka wazee wa next seasons aka wazee wa kujipanga msimu ujao wameshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO haiishagi kila msimu wao wanasema wanajipanga msimu ujao
Medeama haoo (jifiche)Inavyoonekana timu ya wanaoitwa 'makinda fc' ndo bac tena sasa hiv wamegeukia vibabu vya kimataifa...ngoja tuwaone ISIDINGO Fc aka wazee wa next seasons aka wazee wa kujipanga msimu ujao wameshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO haiishagi kila msimu wao wanasema wanajipanga msimu ujao
Inavyoonekana timu ya wanaoitwa 'makinda fc' ndo bac tena sasa hiv wamegeukia vibabu vya kimataifa...ngoja tuwaone ISIDINGO Fc aka wazee wa next seasons aka wazee wa kujipanga msimu ujao wameshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO haiishagi kila msimu wao wanasema wanajipanga msimu ujao
Tuisome namba kwa lipi? Nyie ISIDINGO fc shame on you...wakati WAKIMATAIFA wakiendelea kukamua tiz la uhakika nyie mmekazana kusajili vibabu naona maisha ya OMong pale Shura matopen Sports club yakiwa mafupi mnoacha majungu ww mtaisoma mwaka huu
GENTAMYCINE mwenzako Sembo naona alishaga acha kisabengo na kimbelembele chake, Tangu yule kocha wake Mwenye lesen daraja A ya FIFa wampuge pale Matopen fc kesha kuwa mpole kama maji mtunginiHivi Hospitali ya Vichaa Milembe bado hawajaanza tu kutafuta Wagonjwa wao waliotoroka?
Nyie ISIDINGO fc hamna jipya niaher na coastal iliyoteremka daraja kuliko Chura matopen Sports club na msipoangalia mtaenda msimu wa Tano mkiendelea kubwabwaja hivyo hivyo...kila msimu ukifika mwisho yule Tajiri yenu Hanspope aka 'Mr. Kazi nyingi' anawaambia eti mtanjipanga msimu ujao mmeshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO ITVYanga wazee wa kudhalilisha kimataifa hamna kitu mtaisoma number