Simba SC kwanini haijasajili Mshambuliaji mpaka sasa?

Katika kitu ambacho sijaelewa hadi sasa hivi SSC inampango gani pale mbele Ina maana wameridhika na kina Bocco,Mugalu,Kagere na Mhilu?....
Hivi kumbe pablo sio mshambuliaji kelele zote zile za kumleta kumbe hamna kitu
 
usikate tamaa mapema mzee
Kila nikikumbuka kuwa mpaka sasa ubingwa wetu unategemeana na Yanga kufanya vibaya na sio ubora wa team yetu tena, nakata tamaa kabisa.

Emagine Yanga wawe na msimu kama ule ambao sisi tulipoteza mechi ya mwisho tu , dhidi ya Kagera.
 
Kila nikikumbuka kuwa mpaka sasa ubingwa wetu unategemeana na Yanga kufanya vibaya na sio ubora wa team yetu tena, nakata tamaa kabisa.

Emagine Yanga wawe na msimu kama ule ambao sisi tulipoteza mechi ya mwisho tu , dhidi ya Kagera.
Hatari sana hata hao yanga wenyewe wanajua msimu huu kombe ni lao na wachezaji wanaspirit ya kufa mtu na wameshajiamin lakin huu n mpira ngoja tuone
 
Badala yake waklete viungo wakawa wanafanyia majaribio kwenye Mapinduzi wakati Simba ndio timu tajiri kwa viungo. Kwa mwendo huu hata ubingwa ni hatihati.
Ndio maana nasema kupoteza ligi kunaambatana na ujinga mkubwa. Unamleta Udoh wakati una Lwanga, Kanoute, Mkude na Mzamiru ambao hakuna tatizo. Unamleta Moukoro wakati kuna winga kibao wa nje na ndani. Mgonjwa ana UTI anapewa dawa za mafua
 
Ndio maana nasema kupoteza ligi kunaambatana na ujinga mkubwa. Unamleta Udoh wakati una Lwanga, Kanoute, Mkude na Mzamiru ambao hakuna tatizo. Unamleta Moukoro wakati kuna winga kibao wa nje na ndani. Mgonjwa ana UTI anapewa dawa za mafua
hawezi pona kamwe huyo mgonjwa
 
Tatizo linaanzia pale tunaposubiri na kuamini Sana ripoti ya kocha wakati mapungufu mengine yako wazi ,hata shabiki asiyejua mpira anaona kabisa kwamba hapa pana mapungufu
kwa akili yako unafikiri kocha hajui, si ajabu kawapanga makusudi ili awaumbue
 
Matola kaambiwa na kocha mkuu amtoe kapombe kamtoa enonga,

Yule anatakiwa awe wa kwanza kuondoka simba.
 
Tatizo ni tajiri yetu kuuza wachezaji na kusajiri mabasi.
 
ili mpoteze kombe kuna ujinga huwa lazima ufanyike. Naamini hii ni sehemu ya ujinga ambao utapelekea kupotea NBC
Ni kweli mkuu ni bora uwe na list ya wachezaji motto hata kama ni wachache!
Ni wakati wakuwashukuru wazee na kuwapa mkono wa byebye msimu unaokuja..
Japo hili dirisha dogo alihitajika striker 1
 
Ni kweli mkuu ni bora uwe na list ya wachezaji motto hata kama ni wachache!
Ni wakati wakuwashukuru wazee na kuwapa mkono wa byebye msimu unaokuja..
Japo hili dirisha dogo alihitajika striker 1
kabisa
 
kagere bocco,mugalu ,muhilu,kibu, bado untk mshambuliaji mwngine?
Hayo ndio maajabu.
Yaani Simba ina washambuliaji zaidi ya watano tena wakimataifa, lakini kuna shabiki anataka Simba inunue washambuliaji wengine, sijui ili iwaje?
 
Hayo ndio maajabu.
Yaani Simba ina washambuliaji zaidi ya watano tena wakimataifa, lakini kuna shabiki anataka Simba inunue washambuliaji wengine, sijui ili iwaje?
Mkuu katika hao wa kimataifa umeona impact yao hadi sasa,
Dube na Mayele walipatikanaje,?
Hakuna namna simba ikatafuta striker wa caliba hizo?
 
Hayo ndio maajabu.
Yaani Simba ina washambuliaji zaidi ya watano tena wakimataifa, lakini kuna shabiki anataka Simba inunue washambuliaji wengine, sijui ili iwaje?
Hata kwenye familia unaweza ukawa na watoto wa5 na hata mmoja asikusaidie halafu mwenzako ana watoto wawili na wakamsaidia
 
Huyo mshambuliaji mnaemtaka ni kama Fiston Mayele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…