Simba Sc kwenda Niger na vyuma 24 akiwepo Chama

Mkuu Chama ana mengi anajua kuhusu RB. Unadhani hana cha kushauri technical bench na kwa wenzie? Sio RB tu,bali ana jua mengi kuhusu international games
Kabisa. Hata hamasa kwa wenzie kabla na wakati wa mechi.
Bila kusahau mazoezini kubalance vikosi wanapojigawa.
Halafu mazoezi ya ligi kuu ndio hayo hayo.
 
Vyuma chakavu
 
Ila Simba wawe makini kwenye payslip vinginevyo watajikuta wanaumia wao
 
Kocha wao Pitso alishukuru Sana kutokuwepo Simba Caf champion Liege
 
Hivi ligi yetu ya NBC/GSM Premier League itakuwa imesimama kuwasubiri hawa jamaa au?
Ligi inaendelea,kitakachotokea ni malalamiko f.c kulalama hovyo kuhusu viporo vya Simba.
 
Chama anaenda huko kufanya nini kama hatacheza? hiyo nafasi yake si bira angepewa mtoto mmoja wa U23 akajifunze chochote?
Mkuu, CCC hatocheza mechi zote za Simba group stage kwa sababu tayari RS Berkane walishawasilisha jina lake CAF katika orodha ya wachezaji wao. Kama Simba ikifanikiwa kuvuka kwenda hatua inayofuata basi wataruhusiwa kumtumia Chama... Nafikiri wanasafiri nae ili asiachwe nyuma kwenye program za mwalimu isije kufika kipindi anahitajika kutumika anakua kama mgeni kikosini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…