Kulwa na DottoSimba na Yanga wanafanana kila kitu aisee.
Alisikika akiharisha bata mmoja nyuma ya keybord ya tekno yakeSaido hana maajabu uwanjani.
Simba ilianzishwa na Wana yanga waliokosa madaraka yangaSimba na Yanga wanafanana kila kitu aisee.
Wewe jamaa mwongo na mzushi sana sijui kwa nini mods hawakupigi ban kwa kuleta habari za uwongo humu.Mazungumzo yameanza muda huu mchana katika ofisi za MeTL.
Simba wanataka kuimarisha eneo lililo achwa wazi na Super Ben.
Azam ya msimu unao itakuwa moto balaa. Wamrudishe sasa na Metacha Mnata, halafu wasajili mlinda mlango mwingine mahiri kutoka nje.Sop tayari Azam wameshafanya Yao.
Azam ya msimu unao itakuwa moto balaa. Wamrudishe sasa na Metacha Mnata, halafu wasajili mlinda mlango mwingine mahiri kutoka nje.
Yule Mzazibari kiwango chake ni cha kawaida sana.
Unawahonga kiasi gani hadi wanavumilia huu uzushi unaosambaza hapa?Mods wananifahamu mimi ni nani.
Ni vigumu kwako wewe kunifahamu vyema.
Hata Mimi nàtamani ibaki tetesi kama nilivyotamani la Morrison libaki tetesi.Hizi zibaki tetesi tu
Morisson anayo hayo maajabu!!!!????Saido hana maajabu uwanjani.