GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika hili wala tusifichane Simba SC ya sasa haina Wapiga Penati na hata Wapiga Faulo mahiri (kama Vicente Aboubakary wa Timu ya Taifa ya Cameroon) na Wachezaji walioko wameshatuthibitishia hilo kama Bwalya Rally na Nyoni Erasto.
Hivyo basi kuelekea mtanange Wetu wa leo Usiku Mapinduzi Cup dhidi ya Namungo FC naomba mkakati uwe ni kumaliza Shughuli ndani ya dakika Tisini (ninety minutes) tu ila kwa Uwezo mdogo wa Upigaji Penati walionao Wachezaji wetu naogopa tukienda nao Matuta ( Penati ) Simba SC tunatoka (tunafungwa)
Otherwise GENTAMYCINE nawatakia tu Ushindi Azam FC kwani kuna Watu kuelekea Michuano hii walitoa Kashfa sana kuwa Wachezaji Wao mahiri na Waandamizi hawatocheza Kombe hili lisilo na Hadhi ila Juzi na Jana walikuwa busy kusafirisha hao hao Wachezaji Kisiwani Zanzibar ili leo waokoe Jahazi kudadadeki.
Hivyo basi kuelekea mtanange Wetu wa leo Usiku Mapinduzi Cup dhidi ya Namungo FC naomba mkakati uwe ni kumaliza Shughuli ndani ya dakika Tisini (ninety minutes) tu ila kwa Uwezo mdogo wa Upigaji Penati walionao Wachezaji wetu naogopa tukienda nao Matuta ( Penati ) Simba SC tunatoka (tunafungwa)
Otherwise GENTAMYCINE nawatakia tu Ushindi Azam FC kwani kuna Watu kuelekea Michuano hii walitoa Kashfa sana kuwa Wachezaji Wao mahiri na Waandamizi hawatocheza Kombe hili lisilo na Hadhi ila Juzi na Jana walikuwa busy kusafirisha hao hao Wachezaji Kisiwani Zanzibar ili leo waokoe Jahazi kudadadeki.