moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
Yaani nyie watu aliyewaita mambumbumbu anawafahamu vzr sana, maana mnadhani kwa kushinda mechi moja ndiyo tayari mmeshakuwa mabingwa.
Hata kama mnaulimbukeni wa kombe la ligi kuu lkn si kwa kelele hizo...
Timu yenyewe mliocheza nayo ilikuwa ni second eleven lkn hamuishi kujisifia ujinga!
Huyo mkongwe okwi sijui nani alibahatisha tu , hana lolote jipya...
Kaeni kimya wekeni akiba ya maneno ligi ndiyo kwanza imeanza
Hata kama mnaulimbukeni wa kombe la ligi kuu lkn si kwa kelele hizo...
Timu yenyewe mliocheza nayo ilikuwa ni second eleven lkn hamuishi kujisifia ujinga!
Huyo mkongwe okwi sijui nani alibahatisha tu , hana lolote jipya...
Kaeni kimya wekeni akiba ya maneno ligi ndiyo kwanza imeanza