Simba SC mchukueni Juma Kaseja ni mkongwe lakini akiwa golini kwenye mechi tafu anaweza, kuliko hao mnaobahatisha

Simba SC mchukueni Juma Kaseja ni mkongwe lakini akiwa golini kwenye mechi tafu anaweza, kuliko hao mnaobahatisha

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nimemaliza Sina mengi viongozi wa Simba dharau ndio Zinawaponza mara zote ! Mfano benno ni Bora mara kumi ukimtoa Aishi na huyu wa gorilla wa yanga

wengine wote hakuna wa kimfikia benno kakolanya ..Sasa hivi tuna mashindano magumu Sana mwezi oktoba alafu kipa mnabahatisha ,chukueni juma kaseja Bado ana uwezo mara elfu ya hao mnaopapalika nao !
 
NIBORA WAMUAMINI ALLY SALIM.
ATAWAPIGANIA , TATIZO LINAANZA HAWAMUAMINI JE LINI WATAMUAMINI NA ATAKUA REGULAR START.
 
Daah, hivi hakuna namna JF ikatengeneza udhibiti wa uanzishwaji wa Thread?
Ydhibiti Ili iweje, Kwa maana haya ni mawazo binafsi, japo la kaseja limekaa kiutani zaid ila inapaswa Simba wajitafakar na wachague mtu sahihi.
 
Back
Top Bottom