Simba SC,mechi 12 tumefungwa goli 2 na moja la Mkono

Simba SC,mechi 12 tumefungwa goli 2 na moja la Mkono

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakuu wakati ligi ya VPL ikiendelea ni vyema kuweka kumbukumbu muhimu hasa kuhusu timu inayotajwa kuchukua ubingwa kabla ya ligi kwisha.

Simba Sc Mnyama mkubwa Mwendo Kasi 4G amekuwa na rekodi chafu sana katika ligi inayoendelea.

Kwa muhutasari tu ni kwamba Taifa Kubwa tumeshacheza mechi 12 mpaka jana. Katika mechi hizo tumeruhusu goli 2 tu na moja la mkono lilofanywa na ndugu zetu wa Yanga.

Tayari tumeshinda mechi 10 na kutoa suruhu mechi 2.Tumefunga magoli 24 na mchezaji bora kabisa Shiza Kichuya akiongozo kama mfungaji bora.

Kwa maneno mengine Simba ina kipa bora,beki bora,mido bora,na fowadi hatari.Simba ndio timu pekee isiyochagua uwanja wa kuchinjia.

........itaendelea. Yanga tunaikamatia chini
 
Uzi Kama Huu Unakuwa Ni Kaa la Moto Kwa Masufuria FC aka Mkodisho FC aka Chaneta FC aka Vyura FC aka Wamadimbwini FC aka Yeboyebo FC
 
Vyura kwakua wamenyanyuka kwa mbele,wanashindwa kuepuka goli la mkono.Tulidhani Tambwe tu,kumbe hata bossue naye anafunga ya mkono.Kweli TFF ni jipu.Hatuwezi kutoka hakika kwa uongo tulionao.
 
Goli la pili la simba na mwadui sio offside... Nauliza tu
 
Back
Top Bottom