OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kama mnavyofahamu katika mechi tatu za hivi karibuni Simba imeifunga Yanga mara zote tatu, mara mbili Yanga ikifungwa goli 5 na mara moja ikifungwa 2 kwa 1.
Kwa hiyo Simba SC mmeshapigia Yanga vya kutosha sasa tunawataka vijana wa kazi watupigie Azam kama mechi ijayo ya VPL.
Simba ndiyo timu ya kiwango cha juu cha soka kwa sasa, na ndiyo timu ambayo mashabiki wake wapo katika ari ya juu kuliko timu zote-SIMBA NGUVU MOJA. Hatuna sababu ya kufungwa na timu yeyote hapa Bongo.
Simba ni yenye kipa bora-Tanzania One Aishi Manula
Simba ni yenye mabeki bora-Mwanjali, Zimbwe, Juuko, Nyoni, Mbonde nk
Simba ni yenye mido wa kiwango cha juu-Niyonzima, Ndemla, Mzamiru nk
Simba ni timu yenye fowadi wa ajabu kushinda timu yeyote. Wakati Ruvu Shooting ikiifunga Yanga goli 1, Ruvu Shooting ilipigwa wiki na Simba.
Simba Nguvu Moja.
Kwa hiyo Simba SC mmeshapigia Yanga vya kutosha sasa tunawataka vijana wa kazi watupigie Azam kama mechi ijayo ya VPL.
Simba ndiyo timu ya kiwango cha juu cha soka kwa sasa, na ndiyo timu ambayo mashabiki wake wapo katika ari ya juu kuliko timu zote-SIMBA NGUVU MOJA. Hatuna sababu ya kufungwa na timu yeyote hapa Bongo.
Simba ni yenye kipa bora-Tanzania One Aishi Manula
Simba ni yenye mabeki bora-Mwanjali, Zimbwe, Juuko, Nyoni, Mbonde nk
Simba ni yenye mido wa kiwango cha juu-Niyonzima, Ndemla, Mzamiru nk
Simba ni timu yenye fowadi wa ajabu kushinda timu yeyote. Wakati Ruvu Shooting ikiifunga Yanga goli 1, Ruvu Shooting ilipigwa wiki na Simba.
Simba Nguvu Moja.