Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari.
Hizi habari naona Simba SC wanazichukulia poa sana kwa haya madudu waliyofanya juu ya mchezaji wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu.
Wamemsajili na kumtambulisha kabisa kwa wanachama wao wote kupitia social media kama walivyofanya kwa wachezaji wao wengine.
Japo Yusuph Mhilu bado ana mkataba wa mwaka mmoja katika timu yake ya Kagera Sugar, sasa tunafahamu sheria zipo wazi kabisa kuzungumza na mchezaji ambaye bado ana mkataba na timu nyingine.
Sasa naona mnajitekenya wenyewe kwa madudu haya na baadhi ya viongozi wenu kujisahaulisha na kuona ni jambo dogo sana.
Haya sisi yetu macho kuona mambo yatakavyo kwenda katika ardhi ya Tanzania chini ya uongozi wake wa TFF.
Hivyo basi tunawauliza Mwana msimbazi mnajipa hukumu gani kwa madudu haya mliyofanya kabla ya Sheria tunazozifahamu kufata mkondo wake msimu 2021/2022?
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Hizi habari naona Simba SC wanazichukulia poa sana kwa haya madudu waliyofanya juu ya mchezaji wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu.
Wamemsajili na kumtambulisha kabisa kwa wanachama wao wote kupitia social media kama walivyofanya kwa wachezaji wao wengine.
Japo Yusuph Mhilu bado ana mkataba wa mwaka mmoja katika timu yake ya Kagera Sugar, sasa tunafahamu sheria zipo wazi kabisa kuzungumza na mchezaji ambaye bado ana mkataba na timu nyingine.
Sasa naona mnajitekenya wenyewe kwa madudu haya na baadhi ya viongozi wenu kujisahaulisha na kuona ni jambo dogo sana.
Haya sisi yetu macho kuona mambo yatakavyo kwenda katika ardhi ya Tanzania chini ya uongozi wake wa TFF.
Hivyo basi tunawauliza Mwana msimbazi mnajipa hukumu gani kwa madudu haya mliyofanya kabla ya Sheria tunazozifahamu kufata mkondo wake msimu 2021/2022?
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu