Simba Sc mnasubiri nini "kukaa kama kamati" na George Mpole

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mimi sina maneno mengi. Huyu kijana haitaji uchambuzi mreeeefu,ni kitendo cha kukaa meza moja na timu na menejimenti yake basi. Kwani yeye hataki kushiriki fainali za CAF Champions mwakani?
 
Anafaa kuchukua nafasi ya mzawa John Bocco
 
Mimi sina maneno mengi. Huyu kijana haitaji uchambuzi mreeeefu,ni kitendo cha kukaa meza moja na timu na menejimenti yake basi. Kwani yeye hataki kushiriki fainali za CAF Champions mwakani?
Mpole na Ilamfya kuna utofauti?
 
kwa hiyo unashaurije mkuu
Kuna nafasi za wale waliotolewa kwa mkopo, anaweza akachukuliwa bila kumuacha Bocco. Lazima mtambue nafasi za wachezaji wa nje zina ukomo, na wachezaji wazuri wa ndani ndio hawa hawa akina Bocco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…