OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Too risk kufanya hivyo,yeye asajiliwe aendelee kukomaa after two seasons ndio umuoneshe papah mlango wakutokeaAnafaa kuchukua nafasi ya mzawa John Bocco
Mpole na Ilamfya kuna utofauti?Mimi sina maneno mengi. Huyu kijana haitaji uchambuzi mreeeefu,ni kitendo cha kukaa meza moja na timu na menejimenti yake basi. Kwani yeye hataki kushiriki fainali za CAF Champions mwakani?
Unaufahamu umri wakeToo risk kufanya hivyo,yeye asajiliwe aendelee kukomaa after two seasons ndio umuoneshe papah mlango wakutokea
Hata Yanga waliwachukua Nkane na Ngushi kwa matarajio hayo, lakini hakuna wanachofanyaAnafaa kuchukua nafasi ya mzawa John Bocco
kwa hiyo unashaurije mkuuHata Yanga waliwachukua Nkane na Ngushi kwa matarajio hayo, lakini hakuna wanachofanya
unapopinga uje na ushauri,sio kupinga tuu. Mpole ni mfungaji bora mtarajiwa,utamlinganisha na Chalz?Mpole na Ilamfya kuna utofauti?
Kuna nafasi za wale waliotolewa kwa mkopo, anaweza akachukuliwa bila kumuacha Bocco. Lazima mtambue nafasi za wachezaji wa nje zina ukomo, na wachezaji wazuri wa ndani ndio hawa hawa akina Boccokwa hiyo unashaurije mkuu