Simba SC msajilini mchezaji John Ben Nakibinge

Simba SC msajilini mchezaji John Ben Nakibinge

Saguda47

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
11,258
Reaction score
20,386
Nimekuwa mfuatiliaji wa ligi kuu ya NBC, mpaka Sasa nakiri kuwa huyu kijana Mganda anayecheza klabu ya Tabora United aitwaye JOHN BEN NAKIBINGE ni kiungo Bora wa ushambuliaji.

Anafaa kuwa hapo SIMBA SC maana anajituma, akili ya mpira na ana kasi sana.

Mpka Sasa ana goli 3 na assist 1 katika mechi chache alizocheza.

Kwa kuzingatia level ya timu aliyopo, bila shaka ana kitu Cha kutusaidia Msimbazi.
Screenshot_20231230-150042.jpg
 
Kitu ambacho unatakiwa ukumbuke pia ni kwamba Mchezaji anaweza kukiwasha akiwa timu ndogo hizi.Ila akija kwa Hawa majabali Simba na Yanga anafeli kwa sababu ya presha kubwa kupitiliza iliyopo.

Bado hatujamsahau Victor Akpan.
 
Kitu ambacho unatakiwa ukumbuke pia ni kwamba Mchezaji anaweza kukiwasha akiwa timu ndogo hizi.Ila akija kwa Hawa majabali Simba na Yanga anafeli kwa sababu ya presha kubwa kupitiliza iliyopo.

Bado hatujamsahau Victor Akpan.
Kibu Denis, Ibrahim Bacca, Zimbwe Jr, Dickson Job n.k

Hatuwezi kukata tamaa kwa namna hii mkuu, tutapata pia wazuri.
 
Tabora United kuna vipaji vya maana,... viongozi wa Simba wangechungulia pale kuna Midfielder wao anaitwa NAJIM MUSA ni kipaji cha maana tena Mtanzania Tu....
 
Back
Top Bottom