Simba SC Na Maajabu yake

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Nawapongeza sana Simba kwa kuwa wa bunifu. Wamejiongeza zaidi. Baada ya kuona Timu yao imekosa muelekeo wakabuni vikundi vya kupiga viongozi wakakipeleka kwa mkopo hata kule Coast Union.

Wameanzisha vikundi vya ushangiliaji kwa timu yeyote itakayokuja Dsm ili mradi haichezi na simba.

Inatoa msaada wa kuwa msemaje wa timu yoyote ile. Pia wamejiongeza zaidi wanatoa huduma ya kukushikia nafasi bure huduma hiyo tayali Yanga na Azam wameisha faidika.

Haya kwa wale wanaoenda kigoma na reli ya kati usihangaike kugombea nafasi wasiliana na club ya simba watakushikia nafasi mpaka utakapo amua kusafiri
 
Yule Manara ndio namshangaa kweli yaani yupo busy kuongelea mpira wa timu nyengine..Lakini HansPop alipopewa misukosuko pale taifa hakutupa taarifa..
 
Jokes kidogo sio mbaya
 
Hawa jamaa wamechanganyikiwa sana, kukaa mapeni muda mrefu kuna haribu kisaikolojia sana
 
Hii thread imekaa kichura churani!!
Kweli kabisa, ndio maana chura ni marufuku kupanda ndege. Ila safari hii chura wa Kihansi atapelekwa Nile ili asijetoweka na uharibifu wa mazingira unaotokana na vipigo visivyo na idadi, mnapigwa hadi na jibwa koko la Tanga? Kweli chura huna maana, yaani hata Toto wa Kisukuma kakushinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…