Simba SC nawapa tahadhari, Victorien Adebayor ni usajili wa utapeli

Adebayor ni usajili sahii na ni mchezaji mwenye uwezo na kiwango bora, hata chama hakua na nafasi barkane ila alivyorudi uwezo wake tumeuona,

Adebayor na Miqson ni usajili bora kabisa,
Miqsone ni kamari
 
Nyinyi pale mna wachezaji gani kutoka nje ambaye ni chipukizi ambaye mmekaa nae walau misimu mwiili? Taja wawili tu.
Mimi nimeongea kwa ujumla na sio Simba pekee hata Yanga pia, huoni wazee wengi wamepigwa ..Thank you?
 
Binafsi bado ninayo imani kwa Adebayor Zakari Adje...
 
Unaweza ukakuta washamalizana nae,maana viongozi wa Simba na Yanga akili zao sometimes wanazijua wenyewe.

Azam msimu ujao yupo serious mno,ukifanya usajili wa hovyo unaweza ukakucost kwa miaka miwili.
Azam ni kama baiskeli ya kunolea visu hamna kitu pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…