Simba SC nawashaurini mapema leo hapa JamiiForums kuwa kamwe msimsajili Fiston Mayele kwani hatokuwa msaada wowote ule Kwetu

Simba SC nawashaurini mapema leo hapa JamiiForums kuwa kamwe msimsajili Fiston Mayele kwani hatokuwa msaada wowote ule Kwetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nina taarifa za uhakika kuwa ili Kutuliza Hasira Kali za wana Simba SC ( nami nikiwemo ) za muenendo mbaya wa Timu yetu na kwa Viongozi wetu wa Simba SC kwa kutujua Mashabiki wao tulivyo Mazuzu Original huenda Ligi Kuu ya NBC ikimalizika tu Mchezaji wa Kwanza Kusajiliwa Simba SC akawa ni Fiston Kalala Mayele na nimedokezwa pia kuwa kama Simba SC itafungwa na Yanga SC katika Derby ijayo bado Kesho yake kutakuwa na Propaganda Kubwa juu / dhidi ya Fiston Mayele ili Kututuliza kwa Kipigo na Kutuhamisha Kimawazo.

Sababu Kubwa ninayosema kuwa Mayele kamwe asisajiliwe Simba SC kwani hatokuwa na Msaada wowote ule ni kwamba Kisaikolojia kwa sasa hayuko sawa na akija Tanzania kwa aina ya Mashabiki wa Yanga SC ninaowajua Mimi na Waganga Wao hatari wa Bagamoyo, Pemba, Mtwaa na Mbeya hatoweza kufanya vyema na baadae tutakuja Kulaumiana na Kushikana Mashati. Mwacheni aende Azam FC akakutane na Marafiki zake Wakubwa Feitoto na Nduguye Bangala.

Tayari GENTAMYCINE nimeshapata Strikers Wawili hapa nchni Uganda nilipo ambao nina uhakka wataifaa tu Simba SC.
 
Ifike wakati Simba na Yanga tuache ushabiki wa kipuuzi.

Anachokifanya Mayele hakiwezi kufanywa na mtu matured na mwenye uwezo wa kufikili vizuri.

Kama Yanga kuna majini hajui kama Simba kuna Boko?

Hivi kuna watu washirikina kama Wacongo?

Haya ameombewa na Mwamposa Leo Yuko Masri anasema anafuga Ramadhan huyu kijana amenisikisha Sana.

Nahifadhi maneno tu kwa sababu siwezi kusahau good moment alizotupa Mayele Kwa sababu ya ujinga anaofanya sasa hivi.
 
Scouting ya SSC huangalia zaidi kuwakomesha Yanga, badala ya uwezo wa mchezaji. Haitashangaza.
Simba hawawezi kumpa Mayele Dau analostahili, Simba wangekuwa na uwezo huo mngeona sajiri za maana.

Kwa sasa Simba inaongozwa Kwa propaganda tu, mbaya zaidi kuanzia tajiri mwenyewe magumashi tu, kina Mangungu ndio kama hivyo wanaccm hiyo ni asili yao.

Ila nakuwaga mgumu sana kumponda Mangungu maana nje ya Simba Mangungu ni mpampanaji mwenzetu mzuri Sana wa town na ni mtoto wa Mjini kwelikweli, kwakweli nampa salute yake watu kama Mangungu ni muhimu Sana Kwa wakali wa down town.
 
Tumeshapata mganga wa kufukuza majini na tutaanza kuyafukuza tarehe 20 hivyo Mayele atakuja na atacheza.
 
Charismatic fella utakua na informer wako pale msimbazi 🤔😃😃, hii habari wanayo wachache ambao wapo jikoni
 
Tutamsajiri hivohivo. Subiri mhudumu aje akupe mbunye sio kutuamkia wanasimba asubuhi yotee hiii.​
 
Nina taarifa za uhakika kuwa ili Kutuliza Hasira Kali za wana Simba SC ( nami nikiwemo ) za muenendo mbaya wa Timu yetu na kwa Viongozi wetu wa Simba SC kwa kutujua Mashabiki wao tulivyo Mazuzu Original huenda Ligi Kuu ya NBC ikimalizika tu Mchezaji wa Kwanza Kusajiliwa Simba SC akawa ni Fiston Kalala Mayele na nimedokezwa pia kuwa kama Simba SC itafungwa na Yanga SC katika Derby ijayo bado Kesho yake kutakuwa na Propaganda Kubwa juu / dhidi ya Fiston Mayele ili Kututuliza kwa Kipigo na Kutuhamisha Kimawazo.

Sababu Kubwa ninayosema kuwa Mayele kamwe asisajiliwe Simba SC kwani hatokuwa na Msaada wowote ule ni kwamba Kisaikolojia kwa sasa hayuko sawa na akija Tanzania kwa aina ya Mashabiki wa Yanga SC ninaowajua Mimi na Waganga Wao hatari wa Bagamoyo, Pemba, Mtwaa na Mbeya hatoweza kufanya vyema na baadae tutakuja Kulaumiana na Kushikana Mashati. Mwacheni aende Azam FC akakutane na Marafiki zake Wakubwa Feitoto na Nduguye Bangala.

Tayari GENTAMYCINE nimeshapata Strikers Wawili hapa nchni Uganda nilipo ambao nina uhakka wataifaa tu Simba SC.
Mzee unatuletea okwi na manzoki???
 
Back
Top Bottom