VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Acheni propaganda,vipers walikuwa na wachezaji wazuri tu.Haya mambo ya kusema kaitengeneza ni uongo tu.Kocha kaitengeneza Vipers kila mtu ameuona ubora wao, hizi pressure zenu ni wenge tu, apewe muda...
Utopolo mkubwa usinipotezee muda.Toxic Concotion namkumbukaga sana aliwai kunipa busara.
Tumwache afanye kazi mechi ya kwanza..
Kama wew unajifanya una uchungu sana kuliko wanasimba wote....
Still na Iman tunashinda Leo...
Sito kujib tena...Mm ni simba
Ni upumbavu wa watu wachache sanaKubadili kocha katikati ya msimu mlitarajia nini.
Hujielewi kabisa, kabla ya huyo kocha kwenda Vipers hawakuwa na lolote la maana...Acheni propaganda,vipers walikuwa na wachezaji wazuri tu.Haya mambo ya kusema kaitengeneza ni uongo tu.
Hata angeifundisha Mgunda huenda ingekuwa bora zaidi kulioko ilivyo sasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Vipers wasifu wamiliki waliotoa pesa za kusajili sio mlete propaganda uchwara.Hujielewi kabisa, kabla ya huyo kocha kwenda Vipers hawakuwa na lolote la maana...
Umeanzisha uzi wa mihemko tu hapa..
Kwani chama ndio nani bwana ebu acheni upuuzi wenu, Wamefanyiwa sub kina Messi sembuse chama, Uyu kocha amjajua anachokitaka ataki mchezaji anayecheza kama konokono anataka mchezaji mwenye kasi kwa maana iyo chama ajiangalie anaweza kuwa anaanzia benchi mbele ya uyu kochaNiliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana.
Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi,ni kuhujumu timu.
Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi.
Mashabiki mlioko uwanjani onyesheni hasira zenu,huyu mzungu hatakiwi Simba
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwa akili zako ulimuona huyo mchezaji Chama alipotoka?Kwani chama ndio nani bwana ebu acheni upuuzi wenu, Wamefanyiwa sub kina Messi sembuse chama, Uyu kocha amjajua anachokitaka ataki mchezaji anayecheza kama konokono anataka mchezaji mwenye kasi kwa maana iyo chama ajiangalie anaweza kuwa anaanzia benchi mbele ya uyu kocha
Tena sanaaaaaHuyu kocha ni mpumbavu
Kasomee ww ukocha basiNiliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana.
Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi,ni kuhujumu timu.
Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi.
Mashabiki mlioko uwanjani onyesheni hasira zenu,huyu mzungu hatakiwi Simba
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe hujui lolote kuhusu mpira. Roberto amesomea na anayo leseni ya ukocha uefa pro.Niliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana.
Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi,ni kuhujumu timu.
Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi.
Mashabiki mlioko uwanjani onyesheni hasira zenu,huyu mzungu hatakiwi Simba
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyu shabiki mwenzio anayejiita Cashman hajawahi kuujua mpira, anaongeaga ongeaga tu jaribu kumpa darasa..Kocha kaitengeneza Vipers kila mtu ameuona ubora wao, hizi pressure zenu ni wenge tu, apewe muda...
Watu wanasahau hilo. Hii ilikuwa mechi ngumu kwa Simba. Inawezekana hata kumtoa Chama ilivuruga game plan ya Mbeya.Wewe hujui lolote kuhusu mpira. Roberto amesomea na anayo leseni ya ukocha uefa pro.
Mbeya city kama ilivyo kagera ni timu kisiki kwa simba.
Mara ya mwisho zilitoka sare ya 1-1. kwa hiyo kwa leo simba kushinda 3-2 ni kwa sababu ya huyu kocha mbrazili.
Kocha apewe muda na siyo kumpima kwa mechi moja tu.
Sio mbaya tufanye tumetoka drooOle wenu. Leo mngelala na viatu
Ngaoingapi? acha domo panaNiliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana.
Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi,ni kuhujumu timu.
Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi.
Mashabiki mlioko uwanjani onyesheni hasira zenu,huyu mzungu hatakiwi Simba
Kocha kazi anayo, ile penalty haieleweki imetoka wapi, ila pia watu kuchomoa tena wakiwa pungufu inafikirisha sana. Kocha anaweza asimalize huu msimu.Wewe hujui lolote kuhusu mpira. Roberto amesomea na anayo leseni ya ukocha uefa pro.
Mbeya city kama ilivyo kagera ni timu kisiki kwa simba.
Mara ya mwisho zilitoka sare ya 1-1. kwa hiyo kwa leo simba kushinda 3-2 ni kwa sababu ya huyu kocha mbrazili.
Kocha apewe muda na siyo kumpima kwa mechi moja tu.