GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani natamani Siku nipate bahati ya kukutana na Viongozi wa Simba SC ili niwapige vibao kwa hasira kwani wananikera hadi basi. Niwaambieni mara ngapi nyie Viongozi wa Simba SC na mnielewe? Inonga na Chama ni virusi wakuu ndani ya Wachezaji wa Simba SC kwanini mnawabembeleza hivi ili kuwabakiza?
Waacheni waende Yanga SC huko wanakokutaka na mimi nina mtaalam huyo atawapiga Pini wote na watakuwa kila wakivaa jezi za Yanga SC kende zao zote zinavimba na wakizivua wanawaza kurejea Makwao Congo DR na Zambia tu Kudadadeki zao.
Waacheni waende Yanga SC huko wanakokutaka na mimi nina mtaalam huyo atawapiga Pini wote na watakuwa kila wakivaa jezi za Yanga SC kende zao zote zinavimba na wakizivua wanawaza kurejea Makwao Congo DR na Zambia tu Kudadadeki zao.