GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Chamazi (Azam Complex) si tu Umesharogewa bali umefanyiwa Kufuru mbaya za Kishirikina na Timu fulani fulani kwa ruhusa wa Boss Mkuu wa Timu yenye Umiliki wa huo Uwanja ambaye nae kwa 100% ni Shabiki wa hiyo Timu fulani fulani japo Baba yake Mzazi ni Tajiri mkubwa nchini na asiye na mbwembwe, uchoyo wala Usununu / Roho Mbaya.
Na msije Kuthubutu kabisa kwenda Jamhuri Dodoma au CCM Kirumba Mwanza nako huko ni Ngome Kuu ya Timu fulani fulani ambayo kwa sasa inajua Kuroga/ Ushirikina kuliko kitu chochote kile.
Na msije Kuthubutu kabisa kwenda Jamhuri Dodoma au CCM Kirumba Mwanza nako huko ni Ngome Kuu ya Timu fulani fulani ambayo kwa sasa inajua Kuroga/ Ushirikina kuliko kitu chochote kile.