demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Viongozi wetu wanafanya kutwanga maji kwenye kinu hivi sasa. Maana usajili wa msimu huu haionekani kuponesha vidonda vya mabao matano matano tuliyoyapata msimu uliopita wa klabu bingwa afrika.
Ninaona tunaacha kusajili high profile player, badala yake tunasajili washika pembe tu. Kila siku wanasajiliwa Mabeki na viungo. Hivi hamuoni tatizo kuwa tunashindwa kupata magoli kwenye mechi za ushindani?
Nasikia Eng Hersi atatua Lubumbashi jioni hii kufanya mazungumzo na Makambo ambaye amesalia miezi 6 kutamatisha mkataba wake na Horoya AC.
Kwanini tusihakikishe tunafanya umafia na sisi ili tuongeze makali pale mbele?
Ninaona tunaacha kusajili high profile player, badala yake tunasajili washika pembe tu. Kila siku wanasajiliwa Mabeki na viungo. Hivi hamuoni tatizo kuwa tunashindwa kupata magoli kwenye mechi za ushindani?
Nasikia Eng Hersi atatua Lubumbashi jioni hii kufanya mazungumzo na Makambo ambaye amesalia miezi 6 kutamatisha mkataba wake na Horoya AC.
Kwanini tusihakikishe tunafanya umafia na sisi ili tuongeze makali pale mbele?