Simba SC tusipoacha ' Upuuzi ' huu tusahau kuyafikia malengo yetu tarajiwa. Tubadilike!

Kwani anayemwondoa Kocha mzungu ni
Djuma au washabiki ?

Mimi ninavyofahamu Mkataba wake unaisha na hakuna popote katika mkataba wake panaposema ni lazima aongezewe mkataba mwingine.
Hivyo ni swala la viongozi wa Simba kuhitaji tena huduma yake au la.
Hakuna mwenye haki ya kushinikiza aondoke au abaki.
 
Antonio Conte amekaa chelsea misim miwili.. na kila msim amechukua kombe.. lakin atafungasha soon tu.
80% ya maoni yako bro yako sawa kabisa.. Tena kwa soka la kibongo kuna ujinga mwingi kwenye kamati za uongozi.
Kwanza hatupendi kuheshimu taaluma za watu.. Pili majungu na uongo ni sehem ya maisha yetu Tena hadi kwenye kaz za watu.
Kuhusu kocha Masoud Djuma kumpiga vijembe kocha mkuu hapo utakuwa unatusaidia kupata nyuz hizi.. Lakin binafsi naamini ubora wa mtu si matangazo ila vitendo hata djuma anajua uzito na ukubwa wa timu kama SIMBA hivyo kuwepo na kutokuwepo ni sawa.
Kocha kufukuzwa au kufutwa kaz kuna sababu nyingi pengine maslahi yake au vingine pamoja na fom ya timu.. Hayo tuwaachie waajili wakuu.
Na kocha anaajiliwa ili afukuzwe pia kaka..
Nilipotereza sio vibaya ukiniweka sawa kaka.
SIMBA NGUVU MOJA
 
[emoji23] [emoji23] mmeshaanza migogoro

Tatizo ni bila Okwi uwanjani mnakuwa hamjihamini watani

Cc Kagere
 
Sisi ni Wamatopeni na mwakani matopeni tutarudi
 
Naona timu yangu Simba wamei miss migogoro......, nawahakikishia Simba ikifungwa na Gor Mahia kuna mgogoro utaibuka!!!!! Kuweni makini.
 
Nakazia kabisa Hoja ya mleta mada baadhi ya viongozi kamati ya utendaji na wapenzi wa simba ni wa HOVYO HOVYO kabisa!!
 
Wewe jamaa si huwa unasema kwenu ni Rwanda, peleka huo ushauri Kigali,Rwanda.
 
Nakazia kabisa Hoja ya mleta mada baadhi ya viongozi kamati ya utendaji na wapenzi wa simba ni wa HOVYO HOVYO kabisa!!

Hasa huyo mwenye tabia za ' Kishoga ' ambaye pia namjua ' Kindakindaki ' tokea tukiwa wadogo hapo Fire Kariakoo na kule Shuleni Shighatini ' Upareni ' Mkoani Kilimanjaro kuwa ni mwana Yanga SC mzuri sana tu na Yeye pamoja na ' Mnafiki ' mwenzake Kaburu ndiyo walikuwa kila mara wakituua Simba SC kupitia ' Wakala ' wao Manji. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Kusema ukweli mzungu ameshindwa kutuonyesha soka la kuvutia na magoli ya kutosha.Ushindi umekuwa wa shida sana wa kafoli kamoja halaf tunarudi kudefend.Wakati anafika tulikuwa tunaitwa wazee wa 4g.Amepwaya,aondoke
Ungesoma vema, sababu imeelezwa ni mpango mahususi ili kocha mkuu afukuzwe. Read between lines.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…